Category: Kitaifa

1 22 23 24 25 26 183 240 / 1827 POSTS
Rais Samia azindua kiwanda cha nne kwa ukubwa Afrika

Rais Samia azindua kiwanda cha nne kwa ukubwa Afrika

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amezindua kiwanda cha kuzalisha vioo kilichopo katika wilaya ya Mkuranga mkoani Pwani kinachotarajiwa kutoa ajira [...]
Rais Samia anatekeleza Ilani ya CCM kwa vitendo

Rais Samia anatekeleza Ilani ya CCM kwa vitendo

Rais Samia Suluhu amegawa boti 34 kati ya 160 zilizonunuliwa na Serikali kwa wavuvi na wakulima wa mwani ikiwa ni utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi wa [...]
Rais Samia aandika historia Kilwa

Rais Samia aandika historia Kilwa

Historia imeandikwa mkoani Lindi na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu katika sekta ya uvuvi baada ya kuweka jiwe la msingi ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa u [...]
Rais Samia awasogezea huduma bora za afya wananchi wa Lindi

Rais Samia awasogezea huduma bora za afya wananchi wa Lindi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 19 Septemba 2023 anatarajia kufungua Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Li [...]
Rais Samia kufungua Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Lindi kesho

Rais Samia kufungua Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Lindi kesho

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kesho tarehe 19 Septemba 2023 anatarajia kufungua Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa [...]
Rais Samia kuunganisha mkoa wa Lindi kwa lami

Rais Samia kuunganisha mkoa wa Lindi kwa lami

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt, Samia Suluhu Hassan leo Septemba 18 ameweka Jiwe la Msingi kwenye ujenzi wa Barabara ya kiwango Cha [...]
Barrick Response to Globe and Mail Article on Payments Made by Barrick’s UK Subsidiary.

Barrick Response to Globe and Mail Article on Payments Made by Barrick’s UK Subsidiary.

Released on the 14th September 2023 Earlier today, The Globe and Mail reported on payments made by Barrick’s UK subsidiary, Barrick TZ Limited, to a [...]
Ziara ya Rais Samia Mtwara imefana

Ziara ya Rais Samia Mtwara imefana

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt, Samia Suluhu Hassan leo Septemba 17,2023 amehitimisha Ziara ya Siku tatu Mkoani Mtwara ambapo Ziara [...]
LNG kunufaisha wananchi wa Lindi na Mtwara kimiundombinu

LNG kunufaisha wananchi wa Lindi na Mtwara kimiundombinu

Rais Samia Suluhu Hassan amesema barabara na miundombinu yote ambayo itahusika na mradi wa Kuchakata na Kusindika Gesi Asilia (LNG) mkoani Lindi itaan [...]
Rais Samia: mbaazi ni zao la biashara

Rais Samia: mbaazi ni zao la biashara

Rais Samia Suluhu Hassan amesimama kuwasalimia Wananchi wa Kijiji cha Nanguruwe Mkoani Mtwara leo September 16,2023 ambapo amewataka Wakazi wa Mikoa y [...]
1 22 23 24 25 26 183 240 / 1827 POSTS
error: Content is protected !!