Category: Kitaifa
Rais Samia: mbaazi ni zao la biashara
Rais Samia Suluhu Hassan amesimama kuwasalimia Wananchi wa Kijiji cha Nanguruwe Mkoani Mtwara leo September 16,2023 ambapo amewataka Wakazi wa Mikoa y [...]
Rais Samia asisitiza ulindwaji wa amani na utulivu nchini
Ikiwa jana Septemba 15,2023 ni siku ya Demokrasia Duniani, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amewataka wananchi na vion [...]
Rais Samia mgeni rasmi maonesho ya teknolojia ya madini
Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Maonesho ya 6 ya Kimataifa ya Teknolojia ya Madini yatakayofanyika mkoani Geita kuanzia t [...]
Hospitali ya Rufaa Kanda ya Kusini Mtwara kukuza utalii wa matibabu
Rais Samia Suluhu amezindua Jengo la Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kusini Mtwara ambayo itakuwa ikitoa huduma za kibingwa na kibobezi.
Hospitali h [...]
Wananchi wa Newala wampa Rais Samia maua yake
Baadhi ya wafanyabiashara wa Wilaya ya Newala wamepongeza na kumshukuru Mhe: Rais Dk Samia Suluhu Hassan kwa kufungua mipaka ya kuingia na kutoka nchi [...]
Yanayoendelea kwenye mikutano ya hadhara si dhamira ya kuruhusiwa kufanyika
Rais Samia Suluhu Hassan ameonesha kukasilishwa na mwenendo wa mikutano ya hadhara miezi kadhaa tangu airuhusu tena tangu ya kuwa imefungiwa baada ya [...]
Serikali inavyokabiliana na changamoto za masoko ya bidhaa za kilimo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali yake inatekeleza mikakati madhubuti kukabiliana na changamoto ya u [...]
Ushuhuda na maoni ya mdau wa biashara ya mafuta
1. Mafuta yapo, wanaoleta shida ni wenye vituo kuzuia kuuza stock ya mafuta wakisubiri bei mpya iende juu ili faida yao iwe kubwa.
2. Serikali ifan [...]
Rais Samia asisitiza usimamizi wa rasilimali kwa maendeleo ya wananchi
Rais Samia Suluhu Hassan amewasihi viongozi wa Afrika kusimama imara na kutumia rasilimali zilizopo kwa maendeleo ya wananchi wao.
Ameyasema hayo a [...]
Rais Samia asisitiza matumizi ya teknolojia kwa Jeshi la Polisi
Rais Samia Suluhu Hassan amelitaka Jeshi la Polisi kuongeza kasi ya matumizi ya teknolojia katika utekelezaji wa majukumu yake ili kuongeza ufanisi ut [...]