Category: Kitaifa

1 24 25 26 27 28 208 260 / 2072 POSTS
Bandari ya Bagamoyo haijauzwa

Bandari ya Bagamoyo haijauzwa

Serikali ya Tanzania imekanusha uvumi unaodai kuwa mamlaka zake zimeuza Bandari ya Bagamoyo kwa Kampuni ya Uwekezaji na Maendeleo ya Saudi Arabia (SAD [...]
Rais Samia atoa wito wa kusitisha mapigano DRC

Rais Samia atoa wito wa kusitisha mapigano DRC

Dar es Salaam – Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametoa wito kwa pande zote zinazohusika katika mgogoro wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC [...]
Waziri Mkuu wa DRC awasili Tanzania

Waziri Mkuu wa DRC awasili Tanzania

Balozi wa Tanzania katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Mhe. Said Mshana amempokea Waziri Mkuu wa DRC, Mhe. Judith Suminwa aliyewasili nchin [...]
Rais Museveni awasili Tanzania

Rais Museveni awasili Tanzania

Rais wa Jamhuri ya Uganda, Mhe. Yoweri Kaguta Museveni amewasili nchini Tanzania na kupokelewa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa [...]
CCM imedhamiria kufanya uchaguzi wa uadilifu

CCM imedhamiria kufanya uchaguzi wa uadilifu

KATIBU Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk. Emmanuel Nchimbi, amesema Chama cha Mapinduzi, kimedhamiria kuwa uchaguzi ujao utakuwa ni wa uadilifu na [...]
Rais Samia Suluhu kuongoza Mkutano wa kujadili mgogoro wa DRC

Rais Samia Suluhu kuongoza Mkutano wa kujadili mgogoro wa DRC

Dar es Salaam – Rais wa Kenya, William Ruto, amethibitisha kuwa Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Félix Tshisekedi, na Rais wa Rwanda, P [...]
Rais Samia Kupokea Tuzo ya Gates Goalkeepers kwa Uongozi Bora katika Afya

Rais Samia Kupokea Tuzo ya Gates Goalkeepers kwa Uongozi Bora katika Afya

Dar es Salaam – Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kupokea The Gates Goalkeepers Award, tuzo inayotolewa na Bill & Melinda Gates F [...]
Mahakama itachochea utekelezaji wa Dira ya Maendeleo 2050

Mahakama itachochea utekelezaji wa Dira ya Maendeleo 2050

Rais Samia Suluhu Hassan amesema Mahakama ya Tanzania itakuwa na mchango katika kuiwezesha nchi kufikia malengo ya maendeleo kama yalivyobainishwa kwe [...]
Sera ya Elimu na Mafunzo kutengeneza jamii yenye vijana watakaoweza kujiajiri na kukuza uchumi

Sera ya Elimu na Mafunzo kutengeneza jamii yenye vijana watakaoweza kujiajiri na kukuza uchumi

Serikali ya Tanzania imezindua Sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2014 toleo la mwaka 2023 itakayochochea mabadiliko katika mifumo ya elimu nchini yata [...]
TRA yaahidi kuendelea kutekeleza maagizo ya Rais Samia

TRA yaahidi kuendelea kutekeleza maagizo ya Rais Samia

Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Juma Mwenda akiwa katika maadhimisho ya siku ya Mlipakodi Jijini Dar es Salaam amesema ku [...]
1 24 25 26 27 28 208 260 / 2072 POSTS
error: Content is protected !!