Category: Kitaifa

1 26 27 28 29 30 183 280 / 1828 POSTS
Mradi wa Kawe Beach mbioni kuanza baada ya kusitishwa kwa miaka 7

Mradi wa Kawe Beach mbioni kuanza baada ya kusitishwa kwa miaka 7

Mradi mkubwa wa mali isiyohamishika maarufu kama Seven-Eleven (711) ulioko katika eneo la Mbezi Beach/Kawe roundabout jijini Dar es Salaam unatarajiwa [...]
Onyo kwa wanasiasa wanaotumia matusi kwenye mikutano

Onyo kwa wanasiasa wanaotumia matusi kwenye mikutano

Viongozi wa vyama vya siasa nchini wamekemea tabia ya baadhi ya wanasiasa wenzao wanaotumia vibaya nafasi ya kufanya mikutano ya hadhara ya vyama vya [...]
Mradi wa Sh270 bilioni watua wanakijiji ndoo

Mradi wa Sh270 bilioni watua wanakijiji ndoo

Zaidi ya wakazi 10, 000 wa Kijiji cha Bugayambelele Kata ya Kizumbi Manispaa ya Shinyanga, wameondokana na adha ya kukosa huduma ya maji baada ya mrad [...]
Chama cha Waagizaji na Wasambazaji mafuta chakanusha upotoshaji unaosambaa mitandaoni

Chama cha Waagizaji na Wasambazaji mafuta chakanusha upotoshaji unaosambaa mitandaoni

Baada ya kuwepo kwa taarifa za kukosekana kwa mafuta ya dizeli na petroli nchini, Chama Cha Waagizaji na Wasambazaji wa Mafuta Tanzania ( TAOMAC) kime [...]
Hotuba ya Rais Samia katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika

Hotuba ya Rais Samia katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika

Hii hapa hotuba ya Rais Samia Suluhu aliyoisoma katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Rasilimali Watu (Africa Heads of State Human Capital [...]
Msisitizo wa Rais Samia kuhusu umoja na muungano wa taifa

Msisitizo wa Rais Samia kuhusu umoja na muungano wa taifa

Wadau wamebaini kuwa wito wa mara kwa mara wa Rais Samia Suluhu Hassan wa kukuza umoja na kudumisha amani unakuja wakati muhimu ambapo Tanzania imeona [...]
Mapendekezo matatu yakuboresha rasilimali watu Afrika

Mapendekezo matatu yakuboresha rasilimali watu Afrika

Makamu wa Rais wa Tanzania Dk. Philip Isdor Mpango ametoa mapendekezo matatu yatayosaidia kuimarisha uwezo wa rasilimali watu barani Afrika ikiwemo ta [...]
Rais Samia kufanikisha ujenzi wa mnara mrefu Afrika

Rais Samia kufanikisha ujenzi wa mnara mrefu Afrika

Rais Samia Suluhu Hassan amesema amevutiwa zaidi na ramani ya Uwanja wa Mashujaa, Dodoma ambapo jambo la kipekee na kubwa zaidi katika ramni hiyo ni u [...]
Rais Samia mgeni rasmi siku ya mashujaa

Rais Samia mgeni rasmi siku ya mashujaa

AMIRI Jeshi Mkuu, Rais Samia Suluhu Hassan atakuwa mgeni rasmi katika kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa kitaifa Julai 25, mwaka huu. Shere [...]
Hakuna uhaba wa mafuta nchini

Hakuna uhaba wa mafuta nchini

WAKALA wa Uagizaji wa Mafuta kwa Pamoja (PBPA) umesema hakuna uhaba wa mafuta nchini. Kaimu Mtendaji Mkuu wa PBPA, Erasto Mulokozi amelieleza Habar [...]
1 26 27 28 29 30 183 280 / 1828 POSTS
error: Content is protected !!