Category: Kitaifa

1 28 29 30 31 32 183 300 / 1828 POSTS
Rais Samia afanya uteuzi wajumbe wa NEC

Rais Samia afanya uteuzi wajumbe wa NEC

Rais Samia Suluhu amefanya uteuzi wa Wajumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Serikali. [...]
Jaji Feleshi akemea lugha za kibaguzi mjadala wa bandari

Jaji Feleshi akemea lugha za kibaguzi mjadala wa bandari

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Dkt. Eliezer Feleshi, amejitosa kwenye mjadala wa uwekezaji wa kampuni ya Dubai ya DP World unaotarajiwa kufanywa k [...]
China yaahidi kuwekeza sekta ya nishati Tanzania

China yaahidi kuwekeza sekta ya nishati Tanzania

Waziri wa Nishati, January Makamba amesema Mfuko wa Uwekezaji wa China Africa Development Fund (CADFUND) umeonesha nia ya kuwekeza Tanzania katika sek [...]
Fahamu kwamba bunge linaweza kuitisha mkataba wa bandari

Fahamu kwamba bunge linaweza kuitisha mkataba wa bandari

Mikataba ya uwekezaji inayosainiwa nchini inaweza kuitishwa bungeni kwa marekebisho na maboresho, imeelezwa. Hayo yalibainishwa wakati wa mjadala wa k [...]
Wanaume mnaopitia unyanyasaji toeni taarifa

Wanaume mnaopitia unyanyasaji toeni taarifa

Wanaume nchini wameshauriwa kutovumilia na kuficha vitendo vya ukatili wanavyofanyiwa kwenye ndoa na kwenye familia zao. Badala yake, wametakiwa ku [...]
Wanafunzi 150 kutoka Sudan wahamishiwa Muhimbili

Wanafunzi 150 kutoka Sudan wahamishiwa Muhimbili

Wanafunzi 150 wa udaktari kutoka Chuo Kikuu cha Tiba, Sayansi na Teknolojia (UMST) cha Khartoum nchini Sudan wamehamishiwa Hospitali ya Taifa Muhimbil [...]
Uchumi kukua kwa 5.2% mwaka 2023

Uchumi kukua kwa 5.2% mwaka 2023

Uchumi wa Tanzania unatarajia kukua kwa kasi ya asilimia 5.2 mwaka 2023 kutoka asilimia 4.7 mwaka jana ukichochewa zaidi na sababu mbalimbali zikiwemo [...]
Deni la serikali laongezeka kwa 13.9%

Deni la serikali laongezeka kwa 13.9%

Deni la serikali hadi Aprili 2023, lilikuwa shilingi bilioni 79,100.19 sawa na ongezeko la asilimia 13.9 ikilinganishwa na Shilingi bilioni 69,440.01 [...]
Rais Samia ahimiza uhifadhi wa chakula

Rais Samia ahimiza uhifadhi wa chakula

Rais Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania kutouza nje ya nchi chakula chote kinachovunwa bali kihifadhiwe kwa ajili ya kuongeza akiba itakayosaidi [...]
Malori yaliyokwama Namanga yaruhusiwa kuingia Kenya

Malori yaliyokwama Namanga yaruhusiwa kuingia Kenya

Zaidi ya malori 500 yaliyokwama katika Mpaka wa Namanga yakibeba mahindi yameruhusiwa kuingia nchini Kenya kuanzia jana usiku. Hatua hii ni kufuati [...]
1 28 29 30 31 32 183 300 / 1828 POSTS
error: Content is protected !!