Category: Kitaifa

1 7 8 9 10 11 202 90 / 2017 POSTS
Rais Samia: Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ni jumuishi

Rais Samia: Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ni jumuishi

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema ili nchi ifikie malengo iliyojiwekea katika Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, taasisi za umma, sekta bin [...]
Mradi wa EACOP wafungua fursa za kiuchumi kwa wananchi wa Tanga

Mradi wa EACOP wafungua fursa za kiuchumi kwa wananchi wa Tanga

Wananchi waishio kwenye vijiji vinavyopakana na mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki, EACOP wamesema Serikali ya awamu ya sita ya Mhe. R [...]
Dk. Burian: Tanga ina lita milioni 210 za mafuta

Dk. Burian: Tanga ina lita milioni 210 za mafuta

Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Balozi Dk. Batilda Burian amesema mkoa huo unahifadhi ya lita za ujazo milioni 210 za mafuta ya petroli na dizeli, ikiwa ni mat [...]
Shule ya Sekondari ya Wasichana yaleta neema Geita

Shule ya Sekondari ya Wasichana yaleta neema Geita

Kupitia Mradi wa serikali wa kuboresha Ubora wa Elimu ya Sekondari (SEQUIP) Wananchi mkoani Geita wamenufaika na miundombinu ya ujenzi wa shule mpya m [...]
Sh. bilioni 5.7 zilivyobadilisha taswira ya elimu Kigoma

Sh. bilioni 5.7 zilivyobadilisha taswira ya elimu Kigoma

Serikali kupitia Mradi wa Kuboresha Ubora wa Elimu Sekondari (SEQUIP) imetoa Sh bilioni 5.7 kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya shule mpya mbili za [...]
Mradi wa Maji Nangano kunufaisha wakazi 1,428

Mradi wa Maji Nangano kunufaisha wakazi 1,428

Zaidi ya wakazi 1,428 wa Kijiji cha Nangano, Wilaya ya Liwale mkoani Lindi wameanza kunufaika na mradi wa maji ya bomba uliomaliza adha ya kutembea za [...]
Tanzania na Misri kupanua wigo wa ushirikiano

Tanzania na Misri kupanua wigo wa ushirikiano

Pembezoni mwa Mkutano wa 47 wa Kawaida wa Baraza la Mawaziri wa Umoja wa Afrika na Mkutano wa Saba wa Umoja wa Afrika wa Uratibu, Waziri wa Mambo ya N [...]
Vijiji sita Siha vyapata maji

Vijiji sita Siha vyapata maji

Zaidi ya wakazi 7,000 wa vijiji sita vya Gararagua na Kideco Kata ya Donyomorwa, wilayani Siha mkoani Kilimanjaro, wamepata ahueni baada ya serikali k [...]
Rorya yatumia milioni 99 kwa ajili ya mikopo 10%

Rorya yatumia milioni 99 kwa ajili ya mikopo 10%

Halmashauri ya Wilaya ya Rorya mkoani Mara imetoa Shilingi milioni 99 kwa ajili ya kuwawezesha kiuchumi vijana, wanawake na watu wenye ulemavu, ikiwa [...]
Serikali mbioni kuvipa vyombo vya habari ruzuku

Serikali mbioni kuvipa vyombo vya habari ruzuku

Serikali imesema inatafakari kuona namna ya kufadhili vyombo vya habari kwa kuvipa ruzuku. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Prof [...]
1 7 8 9 10 11 202 90 / 2017 POSTS
error: Content is protected !!