Jeshi la Polisi lakemea maandamano ya CHADEMA

HomeKitaifa

Jeshi la Polisi lakemea maandamano ya CHADEMA

Jeshi la Polisi limepiga marufuku na kutoa onyo kwa viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kuacha kuendelea kuhamasisha wananchi kujihusisha na maandamano ya kudai haki ya watu waliopoteza maisha na watu wasiojulikana yaliyopangwa kufanyika kuanzia Septemba 23, 2024, huku likionya kuwa yeyote atakayeingia barabarani atakabiliwa vilivyo kwa mujibu wa sheria.

Image

error: Content is protected !!