Polisi yawasaka waliosambaza taarifa za upotoshaji mtandaoni kupitia X (Zamani Twitter)

HomeKitaifa

Polisi yawasaka waliosambaza taarifa za upotoshaji mtandaoni kupitia X (Zamani Twitter)

Jeshi la Polisi nchini limetangaza kuanza msako maalum dhidi ya watu wanaodaiwa kusambaza taarifa za upotoshaji mtandaoni kupitia jukwaa la kijamii la X (zamani Twitter).

error: Content is protected !!