Rais Samia: Tunasonga Mbele

HomeKitaifa

Rais Samia: Tunasonga Mbele

Rais Samia Suluhu Hassan ameidhimisha miaka yake minne tangu aapishwe kuwa Kiongozi wa Nchi kwa kutoa shukurani kwa salamu za kheri alizopokea huku akihimiza azma yake ya kuongoza nchini kwa weledi na utu na kuwapatia wananchi maendeleo endelevu.

Kama Rais wa kwanza mwanamke wa Tanzania na wa sita tangu uhuru, ujumbe wake unathibitisha azma ya utawala wake ya kutawala kwa ajili ya raia wote na kuweka misingi ya ustawi wa muda mrefu.

error: Content is protected !!