Tag: habari kubwa za michezo
Maonesho ya utalii wa Tanzania Ujerumani yafana
Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani Mhe. Hassan Mwamweta ameyataka makampuni makubwa ya Utalii nchini Ujerumani kuifanya Jamhuri ya Muungano wa Tanzan [...]
Rais Samia kuanza ziara Cuba
Rais Samia Suluhu Hassan anaanza ziara ya kiserikali ya siku tatu nchini Cuba yenye lengo la kuimarisha uhusiano baina ya mataifa hayo mawili.
Ziar [...]
Fahamu mambo matatu yatakayoboresha kilimo Tanzania
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania imeweka mikakati ya kuimarisha kilimo ili iwe mzalishaji mkubwa wa chakula Afrika Mashariki na Kusini mwa Af [...]
TZS 233.3 bilioni za mkopo zanufaisha wanafunzi 70,990 wa mwaka wa kwanza
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (Heslb) imesema wanafunzi 70,990 wa mwaka wa kwanza wamepatiwa mkopo wenye thamani ya Sh 233.3 bilioni kwa [...]
Uandikishaji daftari la wapiga kura wafikia asilimia 94.8 ya lengo
Serikali imesema Watanzania milioni 31.2 sawa na asilimia 94.8 ya lengo wamejitokeza kujiandikisha katika daftari la wapiga kura wa Serikali za Mitaa [...]
Rais Ruto amteua Kindiki kuwa naibu rais
RAIS wa Kenya, William Ruto amemteua Profesa, Kithure Kindiki kuwa naibu rais akichukuwa nafasi ya Rigathi Gachagua, ambaye aliondolewa madarakani na [...]
Adani Foundation yaanzisha mpango wa kielimu wa kwanza Afrika nchini Tanzania
Tanzania East Africa Gateway Terminal Limited (TEAGTL), kupitia Adani Foundation, imetangaza kusaini Makubaliano ya Ushirikiano (MoU) na IIT-Madras Za [...]
Makusanyo TRA yapaa kwa asilimia 104.9
Kwa mwaka wa fedha 2024/2025 Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imefanikiwa kukusanya kiasi cha shilingi trilioni 7.79 katika kipindi cha mwezi Julai - [...]
Zaidi ya wananchi 18,000 kunufaika na mradi wa maji Bukoba
WANANCHI zaidi ya 18000 wa kata sita za Wilaya ya Bukoba mkoani Kagera waliokuwa na changamoto ya maji kwa muda mrefu wanatarajia kunufaika na mradi w [...]
Rais Samia ahitimisha ziara yake mkoani Ruvuma kwa kishindo
Rais Samia Suluhu Hassan amehitimisha ziara yake ya kikazi ya siku sita mkoani Ruvuma na kuhutubia maelfu ya wananchi waliohudhuria mkutano katika Uwa [...]

