Tag: habari magazetini
Rais Samia Suluhu aleta mapinduzi makubwa katika sekta ya kilimo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameendelea kuonesha dhamira thabiti ya kuimarisha sekta ya kilimo nchini kwa k [...]
Serikali yawezesha mapinduzi ya miundombinu mkoani Shinyanga kwa bilioni 221.19
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, chini ya uongozi wa Rais wa Awamu ya Sita, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, imeendelea kuimarisha juh [...]
Mpina ahamia ACT Wazalendo
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kisesa na Waziri wa zamani wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina amehamia rasmi chama cha ACT Wazalendo leo Agosti 5, 2025.
Mp [...]
Waziri Aweso aitaka kasi na ubora kwa wakandarasi wa Mradi wa Maji Njombe
Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso, amewakemea wakandarasi wa mradi wa maji wa miji 28 unaotekelezwa Wanging'ombe na Makambako, mkoani Njombe, kutokana [...]
Shule ya Sekondari ya Wasichana yaleta neema Geita
Kupitia Mradi wa serikali wa kuboresha Ubora wa Elimu ya Sekondari (SEQUIP) Wananchi mkoani Geita wamenufaika na miundombinu ya ujenzi wa shule mpya m [...]
Sh. bilioni 5.7 zilivyobadilisha taswira ya elimu Kigoma
Serikali kupitia Mradi wa Kuboresha Ubora wa Elimu Sekondari (SEQUIP) imetoa Sh bilioni 5.7 kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya shule mpya mbili za [...]
Waziri Kombo amwakilisha Rais Samia Mkutano wa AU – Malabo
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzan [...]
Tanzania na Misri kupanua wigo wa ushirikiano
Pembezoni mwa Mkutano wa 47 wa Kawaida wa Baraza la Mawaziri wa Umoja wa Afrika na Mkutano wa Saba wa Umoja wa Afrika wa Uratibu, Waziri wa Mambo ya N [...]
Waziri Kombo ashiriki kikao cha 47 cha Baraza la Mawaziri AU
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) ameshiriki katika kikao cha 47 cha Baraza la Mawazir [...]
Tanzania na Ethiopia zasimika mikakati ya kukuza ushirikiano wa kiuchumi
Pembezoni mwa Mkutano wa 47 wa Kawaida wa Mawaziri wa Umoja wa Afrika, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud [...]

