Tag: habari za kimataifa
UVCCM: Tanzania ikiwa na amani ni faraja kwa nchi jirani
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Mohamed Kawaida, amesema Tanzania ikiwa na amani ni faraja kwa nchi jirani, hasa zile zi [...]
Dkt. Samia aahidi ujenzi wa Uwanja Mkubwa wa Ndege Misenyi
Mgombea Urais wa CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametangaza kuwa Serikali yake itaanza ujenzi wa uwanja mkubwa wa ndege eneo la Kyabajwa, wilayani Mise [...]
Neema kwa wachimbaji wadogo mkoani Ruvuma
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema serikali itaendelea kukuza sekta [...]
Zaidi ya dola bilioni 2 zinahitajika kutekeleza Mkakati wa Nishati Safi ya Kupikia Afrika
Pembezoni mwa Mkutano wa Pili wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Nchi za Afrika kuhusu Tabianchi jijini Addis Ababa, Ethiopia, viongozi na wadau mbalimba [...]
Afrika kupatiwa fedha za Mabadiliko ya Tabianchi ni ishara ya usawa katika majukumu ya Kimataifa na si msaada wa huruma
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Cosato Chumi amesisitiza kuwa si sawa kwa Afrika kushurutisha nchi zilizoendelea [...]
Ahadi za Rais Dkt. Samia zawagusa wakulima na wafugaji Igunga
Mgombea wa Nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Samia Suluhu Hassan amenadi sera na ahad [...]

Rais Samia: Haki izingatiwe Uchaguzi Mkuu 2025
Rais Samia Suluhu Hassan ameutaka umma wa Watanzania na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuhakikisha haki inasimamiwa kikamilifu katika uchaguzi m [...]
Majina ya wanachama wa CCM watakaogombea nafasi za Ubunge, Ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kwa Majimbo na Viti maalum
Majina ya wanachama wa CCM watakaogombea nafasi za Ubunge, Ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kwa Majimbo na Viti maalum.
[...]
Fahamu majina ya waliotoka Chadema na kulamba teuzi CCM
Watano kati ya 19 waliokuwa wabunge Chadema wateuliwa CCM Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) imewateua miongoni mwa waliokuwa wabunge 19 wa [...]
TARURA yajenga madaraja 439 ya mawe, yaokoa Sh bilioni 75
Wakala ya Barabara za Vijijini na Mjini (TARURA) umesema kuwa tangu kuanzishwa kwake, wamefanikiwa kujenga jumla ya madaraja 439 ya mawe yenye thamani [...]

