Tag: habari za kimataifa
Kiswahili kufundishwa Afrika Kusini
Serikali ya Tanzania na Afrika Kusini zimesaini mkataba wa Mashirikiano ya kufundisha lugha ya Kswahili katika ngazi Elimu ya Msingi nchini Afrika Kus [...]
Mume wa Nicki Minaj ahukumiwa
Mume wa Nicki Minaj amehukumiwa kifungo cha mwaka mmoja nyumbani kwa kushindwa kujiandikisha kama mhalifu wa ngono.
Kenneth Petty alitakiwa kufahamis [...]
Kiswahili lugha ya biashara Afrika
Wakati nchi wanachama wa jumuiya hiyo wakikutana leo Zanzibar katika kilele cha maadhimisho ya siku ya Kiswahili duniani, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Af [...]
Serikali yataja mikakati ya kukuza na kueneza lugha ya Kiswahili
Katika siku ya kuadhimisha lugha ya kiswahili duniani tarehe 7 Julai, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameweka wazi m [...]
Bei ya mafuta kushuka
Ingawa bei za mafuta zimeendelea kupanda hapa nchini, matumaini ya kushuka kwa bei za mafuta ghafi katika soko la dunia yameanza kuonekana.
Taariff [...]
Fedha za Uviko zaingiza shule 10 bora
Ilikua vigumu sana kwa watu wengi kuelewa uamuzi uliochukuliwa na Rais Samia Suluhu juu ya fedha za mkopo zilizotolewa na IMF za mapambano dhidi ya Uv [...]
Mauzo ya nyama nje yapaa
Wizara ya Mifugo na Uvuvi imesema ndani ya miezi sita mwaka huu Tanzania imeuza nyama tani 10,000 katika nchi za Bara la Asia na kuvunja rekodi ya mwa [...]
Rais Samia akemea mila potofu
Rais Samia Suluhu Hassan, ameitaka jamii kupiga vita ubakaji pamoja na mila potofu zinazohalalisha ndoa za utotoni,.
Pia amewataka watumishi wa afy [...]
Rais Samia atoa bilioni 2 Ruangwa
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amesema serikali imetoa zaidi ya shilingi bilioni mbili kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo katik [...]
Magazeti ya leo Julai 5,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumanne Julai 5,2022.
[...]