Tag: habari za kimataifa
Njia rahisi ya kuondoa mba
Kuweka ngozi ya kichwa chako ikiwa na unyevu, kuisafisha mara kwa mara na kutumia shampoo na kuosha nywele zako mara kwa mara ndiyo njia sahihi ya kut [...]
Mtoto wa miaka 2 akatwa shingo na kutupwa
MTOTO wa miaka miwili, Nkeya Thomas ameuawa kwa kukatwa shingo na watu wasiojulikana na mwili wake kutupwa kichakani katika Kijiji cha Nyamigogwa, Kat [...]
Morocco petroli Sh11,428 na dizeli Sh10,158
Bei ya mafuta ya petroli ilipanda na kufikia kiwango cha juu zaidi nchini Morocco siku ya Alhamisi, na hivyo kuzua hasira miongoni mwa vyama vya wafan [...]
Milioni 100 ukimpata huyu mchina
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dar es salaam linamtafuta mtuhumiwa, Zheng Lingyao (42) Raia wa China, Mkazi wa Jijini Dar es Salaam Kwa tuhuma kumuua Nannan, [...]
Ushuru Daraja la Tanzanite
Serikali imesema magari yataanza kulipia fedha yanapopita kwenye Draja la Tanzanite na katika barabara nyingine mbili za haraka za Kibaha-Mlandizi - C [...]
Maeneo 10 ya kihistoria ya kutembelea Afrika
Bara la Afrika ni sehemu pekee iliyobarikiwa kuwa na vivutio vingi vizuri vya kihistoria. Yafuatayo ni baadhi ya vivutio hivyo na maeneo yanapopatikan [...]
Amuua mkewe kwa kumlima na jembe kichwani
Mtu mmoja anayefahamika kwa jina la God Sawe anatafutwa kwa kosa la kumuua mke wake Ester juzi saa 12.30 jioni kwa kumlima na jembe kichwa kisha kukim [...]
Wamasai wamshukuru Rais Samia
Wakazi wanaoishi katika Hifadhi ya Ngorongoro ambao wameamu kuhama kwa hiari eneo hilo na kwenda kuishi Msomera Wilaya ya Handeni mkoani Tanga, wamems [...]
Magazeti ya leo Juni 16,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Alhamisi Juni 16,2022.
[...]
Alikiba aahidi kumtoboa Harmonize
Alikiba amemtambia Mbwana Samatta kwa kumtaka ampange msanii Harmonize kwenye timu yake ili ampite akafunge kwenye mchezo wa Team Kiba na Team Samatta [...]