Tag: trending videos
Uchumi kukua kwa 5.2% mwaka 2023
Uchumi wa Tanzania unatarajia kukua kwa kasi ya asilimia 5.2 mwaka 2023 kutoka asilimia 4.7 mwaka jana ukichochewa zaidi na sababu mbalimbali zikiwemo [...]
Deni la serikali laongezeka kwa 13.9%
Deni la serikali hadi Aprili 2023, lilikuwa shilingi bilioni 79,100.19 sawa na ongezeko la asilimia 13.9 ikilinganishwa na Shilingi bilioni 69,440.01 [...]
Rais Samia ahimiza uhifadhi wa chakula
Rais Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania kutouza nje ya nchi chakula chote kinachovunwa bali kihifadhiwe kwa ajili ya kuongeza akiba itakayosaidi [...]
Rais Samia kushiriki tamasha la utamaduni, Mwanza
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara kikazi mkoani Mwanza kwa siku tatu ambapo atashiriki uzinduzi wa tamasha la Bulabo pamoj [...]
Manufaa ya Mkataba uliosainiwa kati ya Tanzania na Serikali ya Dubai
Mnamo tarehe 28 Februari, 2022, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (Tanzania Ports Authorit [...]
Fahamu kuhusu ndege ya Air Tanzania Cargo
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, anatarajia kuwaongoza Watanzania kupokea ndege ya kwanza ya mizigo ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) aina ya B [...]
Wafanyabiashara Kariakoo wakubali Ombi
Licha ya kupongeza hatua hiyo ya Serikali kuitikia wito na kuamua kuzivalia njuga changamoto zao Mwenyekiti wa wafanyabiashara sokoni hapo Martin Mbwa [...]
Vibali vya minara kutoka ndani ya mwezi mmoja na sio miezi 6
Rais Samia Suluhu Hassan amezitaka mamlaka zinazohusika na utoaji wa vibali vya ujenzi wa minara ya simu kwa kampuni za simu kutoa vibali hivyo ndani [...]
Fahamu wasifu wa marehemu Bernard Kamilius Membe
Bernard Kamilius Membe alizaliwa tarehe 9 Novemba, 1953, Rondo, Chiponda, katika Mkoa wa Lindi, akiwa ni mtoto wa pili kati wa watoto saba (7) walioza [...]