Tag: trending videos

1 25 26 27 28 29 123 270 / 1230 POSTS
Diamond amaliza yote kwa Zuchu

Diamond amaliza yote kwa Zuchu

Kupitia kwenye ukurasa wa instagrama wa msanii Diamond Platnumz ambaye ni CEO wa lebo ya muziki ya Wasafi WCB, ameandika ujumbe kumtakia heria ya siku [...]
Bei elekezi vifurushi vya simu

Bei elekezi vifurushi vya simu

Serikali imeagiza watoa huduma za mawasiliano ya simu za mkononi wasibadili bei ya vifurushi vya simu hadi serikali itapotoa bei elekezi Januari mwaka [...]
Utendaji kazi wa Rais Samia wamkosha Sumaye

Utendaji kazi wa Rais Samia wamkosha Sumaye

Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amesema Rais Samia Suluhu Hassan, anafanya mambo makubwa kwa taifa na faida yake itaonekana miaka ya hivi karib [...]
Mapya yaibuka ajali ya ndege ya Precision Air

Mapya yaibuka ajali ya ndege ya Precision Air

Ripoti ya awali ya ajali ya ndege ya Precision iliyotokea eneo la Ziwa Victoria imeonyesha kwamba mfanyakazi mmoja wa ndege hiyo akishirikiana na abir [...]
76% ya Watanzania hawapigi mswaki

76% ya Watanzania hawapigi mswaki

Asilimi 76.5 ya Watu wazima Tanzania wameoza meno kutokana na kutopiga mswaki. Mkurugenzi Msaidizi wa Kinga na Meno kutoka Wizara ya Afya, Dk Barak [...]
EU yaipatia Tanzania Bil.34 kufikisha umeme vijijini

EU yaipatia Tanzania Bil.34 kufikisha umeme vijijini

Dhamira ya serikali ya Awamu ya Sita ya kuhakikisha umeme unafika mpaka vijijini kwa namna yoyote inaenda kutimia, baada ya Wakala wa Nishati Vijijini [...]
Rais Samia atoa milioni 70 kuisaidia Doris Mollel Foundation

Rais Samia atoa milioni 70 kuisaidia Doris Mollel Foundation

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amechangia Tsh. Milioni 70 kwa Doris Mollel Foundation, ambapo Tsh. Milioni 20 ameitoa kuw [...]
Ramadhani Brothers wameiwakilisha vyema Tanzania

Ramadhani Brothers wameiwakilisha vyema Tanzania

Wanasarakasi wa Kitanzania Ramadhani Brothers, wamefanikiwa kuingia nusu fainali ya mashindano ya Australia Got Talent lakini kushindwa kutwaa ubingwa [...]
Rais Samia atunukiwa tuzo ya Kiongozi Bora AFRIMMA 2022

Rais Samia atunukiwa tuzo ya Kiongozi Bora AFRIMMA 2022

Waandaji wa tuzo za AFRIMMA wamemtunukua Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan tuzo ya Uongozi Bora kwa mwaka 2022 kutokana na  mchango wake katika ku [...]
Serikali kufanya mabadiliko ya Sera yake

Serikali kufanya mabadiliko ya Sera yake

Rais Samia Suluhu Hassan amesema kutokana na mabadiliko ya kiuchumi duniani, Serikali itafanya mapitio ya Sera yake ya mambo ya nje iliyodumu kwa miak [...]
1 25 26 27 28 29 123 270 / 1230 POSTS
error: Content is protected !!