Author: Cynthia Chacha
UVCCM: Tanzania ikiwa na amani ni faraja kwa nchi jirani
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Mohamed Kawaida, amesema Tanzania ikiwa na amani ni faraja kwa nchi jirani, hasa zile zi [...]
HESLB yatoa bil 215.3/- kwa wanafunzi 66,987
BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetangaza rasmi awamu ya pili ya upangaji wa mikopo na ruzuku kwa wanafunzi wa vyuo ambapo wanafu [...]
Dkt. Samia aahidi ujenzi wa Uwanja Mkubwa wa Ndege Misenyi
Mgombea Urais wa CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametangaza kuwa Serikali yake itaanza ujenzi wa uwanja mkubwa wa ndege eneo la Kyabajwa, wilayani Mise [...]
Wenje: CHADEMA ilikimbia uchaguzi kwa kuogopa ushindani
Aliyekuwa Mbunge wa Nyamagana na kiongozi wa CHADEMA, sasa Kada wa CCM, Ezekiel Wenje, amesema ni hatari kwa taifa kuwa na kiongozi wa chama cha siasa [...]
Ruto amlilia Raila, atangaza siku 7 za maombolezo
Rais William Ruto amewaongoza Wakenya katika kuomboleza kifo cha kiongozi wa ODM Raila Odinga.
Waziri mkuu huyo wa zamani alifariki katika kituo ch [...]
ACT – Wazalendo yaahidi zahati moja kwa watu 1,000 ikipata ridhaa ya kuongoza nchi
Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT Wazalendo) kimesema kama kitapata ridhaa ya kuongoza nchi kitagharamia bajeti ya sekta ya afya kwa [...]
Vipaumbele 13 vya CUF kwa wananchi
MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Morogoro Mjini kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Nyambi Athuman amesema endapo wananchi watamchangua kuwa mbunge wao [...]
Wagombea ubunge CUF na CHAUMMA Lindi wahamia CCM
Wagombea wawili wa Ubunge katika Jimbo la Mchinga mkoani Lindi kutoka vyama vya upinzani, wametangaza kuhama vyama vyao na kujiunga na Chama Cha Mapin [...]
Uzalishaji wa umeme kuongezeka mikoa ya Lindi na Mtwara kwa ujio wa mashine nyingine
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limechukua hatua za dharura kukabiliana na changamoto ya upungufu wa umeme katika mikoa ya Mtwara na Lindi, kufuat [...]
Neema kwa wachimbaji wadogo mkoani Ruvuma
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema serikali itaendelea kukuza sekta [...]

