Author: Cynthia Chacha
Haya hapa matokeo ya kidato cha nne 2025
Baraza la Mtihani Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya mtihani wa Kidato cha nne uliofanyika kuanzia Novemba 17,2025.
Tazama matokeo ya kidato c [...]
BoT: Hatuuzi dhahabu kufadhili miradi ya Serikali
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) jana tarehe 30 Januari 2026, imesema ina mpango wa kuuza sehemu ya hifadhi yake ya dhahabu kwa ajili ya kusawazisha mizani [...]
Serikali imetoa shilingi bilioni 2 kuwawezesha watengeneza maudhui mitandaoni
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Paul Makonda, amesema Wizara imepatiwa kiasi cha TZS bilioni 2 itakayowawezesha watengenezaji wa ma [...]
Uzinduzi wa mkakati wa KKK ni utekelezaji wa malengo ya UN
Rais Samia Suluhu Hassan amesema uzinduzi wa Mkakati wa Kisayansi wa Kujenga Umahiri wa Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (KKK) umetekeleza lengo namba nne [...]
Papa Leo XIV aitaka Tanzania kufungua ubalozi Vatican
Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Leo XIV, amewasilisha wito rasmi kwa Tanzania kufungua ubalozi wake Vatican, hatua itakayodumisha na kuimari [...]
Zaidi ya shilingi bilioni 25 kusambaza umeme katika vitongoji 159 Lindi
Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inatekeleza mradi wa shilingi bilioni 25.8 wa kusambaza umeme katika vitongoji 159 utakaonufaisha ka [...]
Upandaji wa miti ni nguzo ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi
Rais Samia Suluhu Hassan amesema mabadiliko ya tabia nchi si nadharia bali ni uhalisia unaoendelea kuathiri maisha ya watu duniani kote.
Akizungumz [...]
Tanzania iko mbioni kuanza ujenzi wa Kituo cha Teknolojia ya Madini Mkakati utakaogharimu zaidi ya shilingi bilioni 40
Taarifa hiyo imetolewa na Waziri wa Madini, Anthony Mavunde wakati wa kikao na mazungumzo na Ujumbe maalum wa wataalamu sita wa madini kutoka Korea Ku [...]
Mikopo 193 yafungua milango ya ajira 820 kwa vijana
Serikali kupitia Wizara ya Viwanda na Biashara kupitia Shirika la Maendeleo ya Viwanda Vidogo (SIDO) imetoa mikopo 193 yenye thamani ya zaidi ya Shili [...]
Bima ya Afya kwa Wote shilingi 150,000 kwa kaya na wasio na uwezo kugharamiwa na Serikali
Serikali imetangaza rasmi kuanza utekelezaji wa Bima ya Afya kwa wote awamu ya kwanza kwa kundi la wananchi wasio na uwezo (wazee, watoto, wajawazito [...]

