Author: Cynthia Chacha
BAKWATA yakemea upandishaji wa bei bidhaa kwenye mfungo
Mwenyekiti wa Baraza la Waislamu Tanzania (BAKWATA), Wilaya ya Dodoma , Bashiru Omary amewataka wafanyabiashara kutotumia mwezi mtukufu wa Ramadhani k [...]

Rais Samia kuhudhuria Mkutano wa AU
Rais Dk Samia Suluhu Hassan amewasili Addis Ababa kufanya ziara ya kikazi kuanzia leo hado Februari 16, kushiriki Mkutano wa Kawaida wa 38 wa Wakuu wa [...]
Bandari ya Bagamoyo haijauzwa
Serikali ya Tanzania imekanusha uvumi unaodai kuwa mamlaka zake zimeuza Bandari ya Bagamoyo kwa Kampuni ya Uwekezaji na Maendeleo ya Saudi Arabia (SAD [...]
Viongozi wa EAC na SADC Watangaza Maamuzi Muhimu Kuhusu Mgogoro wa DRC
Dar es Salaam, 8 Februari 2025 – Viongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) wamekubaliana juu ya h [...]
Ramaphosa awasili Tanzania
Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde (Mb.) amempokea Rais wa Jamhuri ya Afrika Kusini, Mhe. Cyril Ramaphosa ambaye amewasili nchini Tanzania kushiri [...]
Tanzania yaendelea kusaidia juhudi za amani DRC
Dar es Salaam – Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuwa Tanzania itaendelea kusaidia juhudi za kidiplomasia katika kumaliza mgogoro masha [...]
Rais Samia atoa wito wa kusitisha mapigano DRC
Dar es Salaam – Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametoa wito kwa pande zote zinazohusika katika mgogoro wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC [...]
Waziri Mkuu wa DRC awasili Tanzania
Balozi wa Tanzania katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Mhe. Said Mshana amempokea Waziri Mkuu wa DRC, Mhe. Judith Suminwa aliyewasili nchin [...]
Rais Museveni awasili Tanzania
Rais wa Jamhuri ya Uganda, Mhe. Yoweri Kaguta Museveni amewasili nchini Tanzania na kupokelewa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa [...]
CCM imedhamiria kufanya uchaguzi wa uadilifu
KATIBU Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk. Emmanuel Nchimbi, amesema Chama cha Mapinduzi, kimedhamiria kuwa uchaguzi ujao utakuwa ni wa uadilifu na [...]