Author: Cynthia Chacha
Bandari ya Mtwara mbioni kupokea mitambo ya kuchimba gesi
Kwa mara ya kwanza katika historia, Bandari ya Mtwara inatarajiwa kuanza kupokea mitambo na vifaa vya kisasa kwa ajili ya utekelezaji wa mradi mkubwa [...]
Venezuela kukabidhi kati ya mapipa milioni 30 hadi 50 ya mafuta kwa Marekani
Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza kuwa Mamlaka za Mpito nchini Venezuela zitakabidhi kati ya mapipa milioni 30 hadi 50 ya mafuta ya ubora wa [...]
Tanzania yawakamata Wakenya 5 waliovuka mpaka Horohoro
Mamlaka za Tanzania zimewakamata raia watano wa Kenya, wakiwemo maafisa wawili wa polisi, baada ya kuvuka mpaka katika eneo la Horohoro kwa lengo la k [...]
Zaidi ya shilingi bilioni 280 kutumika kuimarisha upatikanaji wa umeme Dar
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, amesema Serikali inaendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya kuboresha miundombinu ya umeme nchini kwa len [...]
Manunuzi na bidhaa migodini yafikia trilioni 5
Serikali imetangaza kuongezeka kwa manunuzi ya huduma na bidhaa kwa kampuni za kitanzania kwenye migodi inayomilikiwa na Watanzania kwa asilimia 100 n [...]

Ajira 10,000 za zalishwa katika Mradi wa EACOP
Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembe, amesema mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kutoka Uganda hadi Tanzania umezalisha zaid [...]
Raia 32 wa Cuba wafariki katika shambulizi la Marekani nchini Venezuela
Serikali ya Cuba inaripoti kuwa raia 32 wa Cuba walikufa katika mashambulizi yaliyofanywa na vikosi vya Marekani nchini Venezuela mapema Jumamosi asub [...]

Tanzania yavutia uwekezaji wa shilingi trilioni 26.95 kwa mwaka 2025
Tanzania imeendelea kujijenga kama kitovu cha uwekezaji barani Afrika, jambo linalodhihirishwa na kuvutia uwekezaji wa nje wenye thamani ya TZS trilio [...]
CNN Travel Yaitaja Arusha na Hifadhi ya Taifa ya Arusha Kati ya Maeneo Bora ya Kutembelea Duniani Mwaka 2026
Hifadhi ya Taifa ya Arusha, iliyopo jijini Arusha, Tanzania, imetajwa na CNN Travel katika makala yao ya hivi karibuni iliyochapishwa tarehe 31 Desemb [...]
Safari SGR zarejea rasmi
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limetoa ratiba ya safari za treni ya kisasa ya SGR baada ya serikali kutan gaza kurejesha safari kutoka Dar es Salaam - [...]

