Author: Cynthia Chacha
Dkt. Samia aahidi ujenzi wa Uwanja Mkubwa wa Ndege Misenyi
Mgombea Urais wa CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametangaza kuwa Serikali yake itaanza ujenzi wa uwanja mkubwa wa ndege eneo la Kyabajwa, wilayani Mise [...]
Wenje: CHADEMA ilikimbia uchaguzi kwa kuogopa ushindani
Aliyekuwa Mbunge wa Nyamagana na kiongozi wa CHADEMA, sasa Kada wa CCM, Ezekiel Wenje, amesema ni hatari kwa taifa kuwa na kiongozi wa chama cha siasa [...]
Ruto amlilia Raila, atangaza siku 7 za maombolezo
Rais William Ruto amewaongoza Wakenya katika kuomboleza kifo cha kiongozi wa ODM Raila Odinga.
Waziri mkuu huyo wa zamani alifariki katika kituo ch [...]
ACT – Wazalendo yaahidi zahati moja kwa watu 1,000 ikipata ridhaa ya kuongoza nchi
Chama cha Alliance for Change and Transparency (ACT Wazalendo) kimesema kama kitapata ridhaa ya kuongoza nchi kitagharamia bajeti ya sekta ya afya kwa [...]
Vipaumbele 13 vya CUF kwa wananchi
MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Morogoro Mjini kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF), Nyambi Athuman amesema endapo wananchi watamchangua kuwa mbunge wao [...]
Wagombea ubunge CUF na CHAUMMA Lindi wahamia CCM
Wagombea wawili wa Ubunge katika Jimbo la Mchinga mkoani Lindi kutoka vyama vya upinzani, wametangaza kuhama vyama vyao na kujiunga na Chama Cha Mapin [...]
Uzalishaji wa umeme kuongezeka mikoa ya Lindi na Mtwara kwa ujio wa mashine nyingine
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limechukua hatua za dharura kukabiliana na changamoto ya upungufu wa umeme katika mikoa ya Mtwara na Lindi, kufuat [...]
Neema kwa wachimbaji wadogo mkoani Ruvuma
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema serikali itaendelea kukuza sekta [...]
Tanzania na China zaendelea kuimarisha ushirikiano wa uwili
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Samwel W. Shelukindo amekutana na Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China [...]
Mahakama yaamuru Mpina kurudi kuwania nafasi ya urais
Mahakama Kuu, Masjala Kuu Dodoma, imeamuru mwanachama wa ACT Wazalendo, Luhaga Mpina, aruhusiwe kuendelea na mchakato wa kurejesha fomu ya kugombea Ur [...]