Author: Cynthia Chacha

1 2 3 270 10 / 2699 POSTS
Rais Samia amuasili mtoto mchanga aliyetelekezwa Nzega

Rais Samia amuasili mtoto mchanga aliyetelekezwa Nzega

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemuasili mtoto mchanga wa kike leo tarehe 11 Machi, 2026, katika makaz [...]
Tanzania yaendelea kung’ara Afrika kwa kuvutia uwekezaji wa madini

Tanzania yaendelea kung’ara Afrika kwa kuvutia uwekezaji wa madini

Tanzania imeendelea kuimarisha nafasi yake kama moja ya vivutio vikubwa vya uwekezaji katika sekta ya madini baada ya kushika nafasi ya 34 kati ya mae [...]
Ruto aitaja SGR ya Tanzania mfano bora wa uwekezaji wa kikanda

Ruto aitaja SGR ya Tanzania mfano bora wa uwekezaji wa kikanda

Rais wa Jamhuri ya Kenya, Mhe. William Samoei Ruto, ameipongeza Tanzania kwa mafanikio ya mradi wa reli ya kisasa (Standard Gauge Railway (SGR) Aki [...]
Museveni Mwenyekiti mpya EAC

Museveni Mwenyekiti mpya EAC

Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Museveni amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa kipindi kuanzia machi 2026 hadi 2028. Rais Muse [...]
ATCL yatangaza safari maalum ya ndege kati ya Dar na Dubai

ATCL yatangaza safari maalum ya ndege kati ya Dar na Dubai

Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) limetangaza kuendesha safari maalum ya ndege kati ya Dar es Salaam na Dubai siku ya Jumapili, Machi 8, 2026, kwa leng [...]
Tanzania na Kenya kukuza diplomasia

Tanzania na Kenya kukuza diplomasia

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amepokea rasmi nakala ya Hati za Utambulisho kutoka [...]
WHO yasifu Tanzania kwa kupunguza vifo vya watoto

WHO yasifu Tanzania kwa kupunguza vifo vya watoto

Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani, WHO, Kanda ya Afrika, Dkt. Mohamed Janabi amesema Tanzania imepiga hatua katika kupunguza vifo vya watoto chini [...]
Nduva aaga, amshukuru Rais Samia kwa ushirikiano na uungaji mkono wa mtangamano wa EAC

Nduva aaga, amshukuru Rais Samia kwa ushirikiano na uungaji mkono wa mtangamano wa EAC

Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Mhe. Veronica Nduva, ametoa shukrani za dhati kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. [...]
Tanzania yatoa wito wa amani kufuatia hali inayoendelea Mashariki ya Kati

Tanzania yatoa wito wa amani kufuatia hali inayoendelea Mashariki ya Kati

Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepokea kwa masikitiko matukio yanayoendelea kujitok [...]
1 2 3 270 10 / 2699 POSTS
error: Content is protected !!