Author: Cynthia Chacha

1 2 3 241 10 / 2406 POSTS
Serikali yaendelea kuimarisha mazingira ya uwekezaji nchini

Serikali yaendelea kuimarisha mazingira ya uwekezaji nchini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali inaendelea kuimarisha mazingira rafiki ya uwekezaji kwa lengo [...]
Rais Samia awasihi wawekezaji kulipa kodi na tozo

Rais Samia awasihi wawekezaji kulipa kodi na tozo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua Kiwanda cha Chokaa na Saruji- Maweni Limestone mkoani Tanga na kuzung [...]
Rais Samia: Hata gesi iikisha endeleeni kutumia majiko haya

Rais Samia: Hata gesi iikisha endeleeni kutumia majiko haya

RAIS Samia Suluhu Hassan amewataka wanufaika wote wa mradi uliozinduliwa leo wa majiko ya Ruzuku kuendeleza matumizi majiko hayo hata pale gesi iliyog [...]
Rais Samia ampisha mwanafunzi kukalia kiti chake

Rais Samia ampisha mwanafunzi kukalia kiti chake

Rais Samia Suluhu Hassan, akiendelea na ziara yake wilayani Muheza, mkoa wa Tanga, alifanya kitendo kilichogusa hisia za watu wengi baada ya kumpisha [...]
Rais Samia azindua awamu ya pili ugawaji wa boti za uvuvi

Rais Samia azindua awamu ya pili ugawaji wa boti za uvuvi

Rais .Samia Suluhu Hassan amekabidhi boti 35 za kisasa kwa wavuvi wa Mkoa wa Tanga, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa awamu ya pili ya mradi wa ukopes [...]
Rais Samia: Watumishi watumikieni wananchi

Rais Samia: Watumishi watumikieni wananchi

RAIS Samia Suluhu Hassan amewakumbusha watumishi wa umma kote nchini kuwa wamekasimiwa majukumu ya kuwatumikia wananchi na amewataka wasimame ipasavyo [...]
Rais Samia apendekeza shule iitwe Beatrice Shelukindo

Rais Samia apendekeza shule iitwe Beatrice Shelukindo

RAIS Samia Suluhu Hassan ameomba Shule ya Sayansi ya Wasichana ya Mkoa wa Tanga iliyopo Wilaya ya Kilindi aliiyoizinduliwa leo ipewe jina la aliyewahi [...]
Rais Samia azindua jengo la Halmashauri Bumbuli

Rais Samia azindua jengo la Halmashauri Bumbuli

Rais Samia Suluhu Hassan amezindua jengo la Utawala la Halmashauri ya Wilaya ya Bumbuli mkoani Tanga lililogharimu zaidi ya shilingi bilioni 3,2. J [...]
Rais Samia kuzindua ujenzi mradi wa umwagiliaji Mkomazi

Rais Samia kuzindua ujenzi mradi wa umwagiliaji Mkomazi

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuweka Jiwe la msingi la ujenzi wa Bwawa la Mkomazi pamoja na kushuhudia utiaji saini wa mikataba miwili ya [...]
Mkutano wa G25 waazimia kuongeza thamani ya zao la kahawa Afrika

Mkutano wa G25 waazimia kuongeza thamani ya zao la kahawa Afrika

Rais Samia Suluhu Hassan amesema mkutano wa tatu wa nchi zinazozalisha kahawa barani Afrika unapaswa kuazimia kuongeza thamani ya zao hilo ili kufikia [...]
1 2 3 241 10 / 2406 POSTS
error: Content is protected !!