Author: Cynthia Chacha
Upatikanaji wa nishati safi ya kupikia Tanzania wafikia 23.2%
Upatikanaji wa nishati safi ya kupikia nchini Tanzania umeongezeka kutoka asilimia 6.9 mwaka 2021 hadi 23.2 mwaka 2025, ongezeko la zaidi ya mara tatu [...]
Ufanisi wadorora: Bandari ya Mombasa yaanza kupoteza hadhi na mapato
Kwa vigezo vyovyote vile, Bandari ya Mombasa imekuwa mhimili mkuu wa uchumi wa Kenya.
Kwa muda mrefu, Mombasa ilikuwa lango kubwa zaidi la bahari k [...]
Somalia na Tanzania zaimarisha ushirikiano wa uhamiaji kupitia MoU mpya
Somalia na Tanzania zimetia saini Hati ya Makubaliano (MoU) yenye lengo la kuimarisha ushirikiano katika usimamizi wa masuala ya uhamiaji na kuongeza [...]
Biashara kati ya Malawi na Tanzania yaongezeka kwa asilimia 13.5
Biashara kati ya Malawi na Tanzania imeongezeka kutoka dola za Marekani milioni 86.5 mwaka 2021 hadi dola milioni 98.2 mwaka 2024, ikiwa ni ukuaji wa [...]
Kocha Gamondi rasmi kuinoa Stars
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Paul Makonda, ameweka wazi kuwa, Kocha Miguel Gamondi amesaini rasmi mkataba wa miaka miwili wa kui [...]

UN yaisifu Tanzania kwa kuwa na mifumo imara ya maridhiano
Rais Samia Suluhu Hassan, amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Amina Mohammed, ambaye ameisifu Tanzania kwa [...]
Serikali kujenga vituo vya kisasa vya kupoza umeme kila wilaya
Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi, amesema Serikali kupitia Shirika la Umeme (TANESCO) itahakikisha inajenga vituo vya kisasa vya kupokea, kupoza [...]
Tanzania yaendelea kuongoza soko la Parachichi India
Parachichi nchini India yanapatikana kwa wingi kupitia uagizaji kutoka nje, huku soko likiwa katika hali ya kawaida bila mabadiliko makubwa kwa sasa, [...]
Tanzania Kinara wa uzalishaji wa Kahawa iliyothibitishwa Barani Afrika
Tanzania imetambuliwa kuwa kinara wa uzalishaji wa kahawa iliyothibitishwa barani Afrika, hatua inayothibitisha kuimarika kwa ushawishi wake katika so [...]
Bandari ya Mtwara yapokea meli kubwa ya shehena
Bandari ya Mtwara imeendelea kupokea meli zaidi zinazoleta shehena ya magari na mitambo ambapo tarehe 09 Februari, 2026 meli nyingine ya MV ANA OCEAN [...]

