Author: Cynthia Chacha
Viwanda kutoa ajira milioni 6 kwa vijana
Serikali imetangaza kufungua fursa za ajira kwa vijana kupitia uwekezaji katika Sekta ya Viwanda na biashara, ikilenga kuanzisha na kuendeleza viw [...]
Bima ya Afya kwa Wote Mambo Safi
Waziri Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba, amesema Bima ya Afya kwa Wote, inatarajiwa kuzinduliwa Januari mwakani.
Aidha, Dk. Mwigulu, amezitaka hospitali z [...]
Taarifa Rasmi kuhusu Tanzania Kuwekwa katika Kundi la Vikwazo vya Kuingia nchini Marekani
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa niaba ya Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inapenda kuufahamisha umma kuwa Ser [...]
Rais Samia: Uimara wa taifa letu ni pamoja na mchango mkubwa wa Jenista
Rais Samia Suluhu Hassan ameongoza familia, viongozi, wabunge na waombolezaji wengine, katika ibada ya kuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Per [...]
Tusitoke kwenye mstari, Tanzania inapaa kimaendeleo
Rais Samia Suluhu Hassan Ameandika Historia Mpya ya Maendeleo, tumuunge mkono
Na GULATONE MASIGA
Tanzania imethibitisha kwamba inapoongozwa kwa [...]
Tathmini ya tamko la Kamati Kuu ya Baraza Kuu la Chadema Taifa kuhusu uchaguzi mkuu wa Oktoba 29,2025
√ Ukweli, Upotoshaji na Uhalisia wa Mambo
Na GULATONE MASIGA
Katika siku za karibuni, Kamati Kuu ya Baraza Kuu la CHADEMA ilitoa tamko kuhusu uc [...]
Ujenzi wa kituo cha mafunzo ya Uongezaji thamani madini waanza
Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde amemtaka mkandarasi wa ujenzi wa kituo cha Jemolojia Tanzania (TGC) kukamilisha ujenzi wa majengo ya kituo cha m [...]

Wananchi wasilisheni taarifa za vurugu za Oktoba 29
Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani uliotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 imeanza rasmi kazi zake.
Tume hiyo [...]
Rais Samia Suluhu amlilia Jenista
Rais Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za rambirambi kwa Spika wa Bunge, Mussa Azzan Zungu kufuatia kifo cha Mbunge wa Jimbo la Peramiho, Jenista Mha [...]
Bandari ya Kilwa yaanza kupokea meli za shehena ya bidhaa mchanganyiko
Bandari ya Kilwa imeendelea kufungua milango mipya ya kibiashara baada ya kuanza kupokea Meli za shehena ya bidhaa mchanganyiko kwenda Nchini Comoro.
[...]

