Author: Cynthia Chacha
Mbivu na mbichi za kina Mdee leo
Maombi ya wanachama 19 wa zamani wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ya kibali cha kupinga kufukuzwa uanachama, yatajulikana leo Mahakama i [...]
Magazeti ya leo Juni 22,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatano Juni 22,2022.
[...]
Awamu ya 6 na mageuzi Bandari ya Mtwara 2022-23
Ile kauli ya Rais Samia Suluhu Hassan ya "Kazi Iendelee" sasa inafanya kazi tena kwa kasi sana kwani serikali ya awamu ya sita chini yake inakusudia k [...]
Fahamu aina 5 za miguno
Miguno wakati wa tendo la ndoa inaweza kuwa ya uwongo, ambayo si jambo zuri, lakini inapokuwa ya kweli, huakisi hisia ambazo mwanamke anapitia pamoja [...]
Magari yanayoweza kujiendesha
Magari sasa yameainishwa kwa kutumia viwango vitano kulingana na teknolojia ya kujiendesha yenyewe. Kiwango cha 0 ni aina ya gari ambalo wengi wetu tu [...]
Nchi 20 kushiriki maonesho ya Sabasaba
Maandalizi ya Maonesho ya 46 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam, Sabasaba yamekamilika kwa asilimia 95, na nchi 20 ikiwemo Marekani zimethibiti [...]
Simba kumuaga Wawa
Klabu ya Simba imeamua kuacha na beki wake wa kati raia wa Ivory Coast Pascal Wawa baada ya mkataba wake kumalizika kwenye klabu hiyo yenye makazi yak [...]
Nabi amtamani Msuva
Simon Msuva yupo nchini tangu mwaka jana baada ya kuzinguana na timu yake ya Wydad Casablanca ya Morocco na kupelekana Fifa, ila juzi alifunga mabao m [...]
Ofisa Mtendaji, Mgambo wadaiwa kuua mwanafunzi kisa viatu
Ofisa Mtendaji katika kata moja wilayani Siha mkoani Kilimanjaro na mgambo, wanadaiwa kuwatembezea kipigo wanafunzi wanne na kusababisha kifo cha mmoj [...]
Magazeti ya leo Juni 21,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumanne Juni 21,2022.
[...]