Author: Cynthia Chacha
Mtanzania amtwanga Mjerumani kwa TKO
Bondia Mtanzania anayeishi nchini Sweden Awadhi Tamim amemtwanga Bondia Shkelqim Ademaj wa Ujerumani kwa TKO katika pambano la raundi 10 lililofanyika [...]
Magazeti ya leo Juni 13,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatatu Juni 13,2022.
[...]
Nchi 10 za Afrika zenye shida ya upatikanaji wa umeme
Kabla ya kufunua orodha, ni muhimu kuzingatia mambo machache. Kwanza, bara la Afrika kwa sasa lina ufikivu mbaya zaidi wa umeme duniani. Na changamoto [...]
Askari auawa kwa mshale Ngorongoro
Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe.John Mongella amewataka wananchi Wa Tarafa ya Loliondo wilaya ya Ngorongoro Kuwa watulivu na kusikiliza maelekezo ya serika [...]
Rais Samia aliwaza mbali nyongeza ya mishahara
Mei 14,2022 , Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan alitimiza ahadi yake ya kuongeza mishahara kwa kutangaza kima cha chin [...]
Ngorongoro mambo safi
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema Rais Samia Suluhu ametoa fedha kukamilisha mchakato wa wananchi kuhama kutoka Ngorongoro kwenda Kijiji cha Msomer [...]
Justin Bieber apooza uso
Msanii kutoka nchini Canada, Justin Bieber ameweka video fupi Kwenye ukurasa wake wa Instagram akieleza wazi kwamba amesitisha show zake kutokana na u [...]
Magazeti ya leo Juni 11,2022
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumamosi Juni 11,2022.
[...]
Ukweli kuhusu wakazi wa Ngorongoro
Serikali imesema wananchi wa maeneo ya Loliondo wapo salama ikibainisha kuwa “hakuna mapambano yoyote” kati ya polisi na wakazi hao wa kaskazini mwa [...]
Makamba afanya uteuzi
Waziri wa Nishati, January Makamba amefanya uteuzi wa wajumbe wa bodi ya Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC).
[...]