Author: Cynthia Chacha

Rais Samia achangia Sh. milioni 150 ujenzi wa kanisa Machame
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa shilingi milioni 150 kuchangia ujenzi wa Kanisa la KKKT la Bethel Usharika wa Nshara Machame Mkoani Kilimanjaro anakos [...]
Rais Samia afarijika kuona 58% ya wahitimu ni wanawake
Rais Samia Suluhu Hassan amewataka wanafunzi wa vyuo vikuu nchini kuleta mabadiliko chanya katika jamii mara wanapohitimu masomo yao.
Ameyasema hay [...]
Kozi nne zaongezwa mikopo ya diploma 2023-2024
Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (Heslb) imetangaza nyongeza ya kozi mpya nne zitakazopewa kipaumbele katika utoaji wa mikopo kwa ngazi ya diploma kwa m [...]
Rais Samia miongoni mwa mwanawake 100 wenye ushawishi Afrika
Kampuni ya Avance Media katika toleo lake la tano imetoa orodha ya wanawake 100 wenye ushawishi zaidi barani Afrika kwa mwaka 2023.
Miongoni mwao n [...]
Rais Samia : Tanzania inafunguka, Tanzania ni jina kubwa
Rais Samia Suluhu Hassan amewataka wazalishaji nchini kuongeza juhudi na kutumia fursa zilizopo nchini ili ziweze kuwasaidia katika shughuli zao lakin [...]
Rais Samia aagiza suluhu changamoto ya udanganyifu wa mitihani
Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza kushughlikiwa kwa changamoto ya udanganyifu wa mitihani inayosababisha Tanzania kuwa na wimbi kubwa la wahitimu wasi [...]
Tanzania ya pili Afrika, 12 duniani kuongezeka watalii
Tanzania imeongeza idadi ya watalii wa kigeni wanaoingia nchini kwa asilimia 19 kufikia Septemba mwaka huu ikilinganishwa na idadi ya juu iliyopata ku [...]
Mtanzania mwingine auawa nchini Israeli
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba amesema amejulishwa na Serikali ya Israel kwamba kijana wa Kitanzania, Josh [...]
Rais Samia amuunga mkono Prof. Jay kwa Sh. Milioni 97
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imeahidi kuchangia kiasi cha shilingi milioni 97 katika taasisi ya [...]

Rais Samia asema Hanang itarejea kama zamani
Rais Samia Suluhu Hassan amesema maisha ya watanzania walioathirika na maafa ya mafuriko na maporomoko ya tope huko wilayani Hanang mkoani Manyara yat [...]