Category: Kimataifa
Makampuni 16 ya Kitanzania yaidhinishwa kusafirisha parachichi China
Makampuni 16 ya Kitanzania yameidhinishwa rasmi na Mamlaka ya Forodha ya China — General Administration of Customs of China (GACC) — kusafirisha parac [...]
Tanzania na Rwanda zaimarisha ushirikiano kwa kusaini hati mbili za makubaliano
Mkutano wa 16 wa Tume ya Kudumu ya Pamoja ya Ushirikiano (JPC) kati ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Rwanda umefungwa rasmi jijini Kig [...]
CCM yaandika historia Afrika kwa kufanya Mkutano Mkuu kidijitali
Leo tarehe 26 Julai 2025, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeandika historia mpya barani Afrika kwa kufanikisha Mkutano Mkuu wa Taifa kwa njia ya mtandao, [...]
Waziri Kombo amwakilisha Rais Samia Mkutano wa AU – Malabo
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzan [...]
Waziri Kombo ashiriki kikao cha 47 cha Baraza la Mawaziri AU
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) ameshiriki katika kikao cha 47 cha Baraza la Mawazir [...]
Tanzania na Ethiopia zasimika mikakati ya kukuza ushirikiano wa kiuchumi
Pembezoni mwa Mkutano wa 47 wa Kawaida wa Mawaziri wa Umoja wa Afrika, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud [...]

Rais Samia: Tanzania na Comoro kushirikiana kukabiliana na changamoto za tabianchi
Moroni, Comoro – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameeleza dhamira ya Tanzania kuimarisha ushirikiano na Comoro katika ku [...]
Vita ya Iran na Israel itakavyoathiri uchumi wa Tanzania na mkakati wa serikali uliopo kukabiliana na athari hizo
Mvutano unaoendelea kati ya Iran na Israel unaonekana kwa macho ya kawaida unaweza kudhani ni tatizo la mashariki ya kati pekee, lakini kwa Tanzania, [...]
Shilingi ya Tanzania imekuwa miongoni mwa sarafu zinazofanya vizuri duniani
Shilingi ya Tanzania imejitwalia hadhi ya kuwa moja ya sarafu zinazojipongeza kwa utendaji mzuri zaidi duniani katika miezi ya hivi karibuni, kutokana [...]
Waziri Kombo aongoza ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa Waratibu wa Utekelezaji wa Maazimio ya FOCAC
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), ameongoza ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa Wara [...]