Category: Kimataifa

1 2 3 57 10 / 567 POSTS
Ushirikiano kati ya Tanzania na Japan wazidi kuimarika

Ushirikiano kati ya Tanzania na Japan wazidi kuimarika

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema ushirikiano wa Tanzania na Japan umezidi kukua na kuimarika katika nyanja za kiuchumi, kisiasa na kidiplomasia am [...]
Rais wa Namibia awasili Tanzania

Rais wa Namibia awasili Tanzania

Rais wa Jamhuri ya Namibia, Mhe. Dkt. Netumbo Nandi-Ndaitwah amewasili nchini Mei 20, 2025 kwa ajili ya kuanza ziara rasmi ya siku mbili kuanzia tareh [...]
Waziri Kombo Amkabidhi Rais Museveni Ujumbe Maalum kutoka kwa Rais Samia

Waziri Kombo Amkabidhi Rais Museveni Ujumbe Maalum kutoka kwa Rais Samia

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amewasilisha ujumbe Malumu kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya M [...]
Rais Samia: Hongera Rais Putin

Rais Samia: Hongera Rais Putin

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametuma salamu za pongezi kwa Rais wa Shirikisho la Urusi, Vladimir Putin, kuadhimisha S [...]
Rais wa Msumbiji kuanza Ziara ya Kiserikali leo nchini

Rais wa Msumbiji kuanza Ziara ya Kiserikali leo nchini

Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mhe. Daniel Francisco Chapo anatarajia kuanza Ziara ya Kiserikali ya siku tatu hapa nchini kuanzia leo tarehe 07 Mei, 202 [...]
Rais Samia ametunukiwa Medali ya Mother of the Nation Order kutoka kwa Rais wa Umoja wa Falme za Kiarabu

Rais Samia ametunukiwa Medali ya Mother of the Nation Order kutoka kwa Rais wa Umoja wa Falme za Kiarabu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametunukiwa Medali ya Mother of the Nation Order kutoka kwa Rais wa Umoja wa Fa [...]
Tanzania yapanda kimataifa uhuru wa habari

Tanzania yapanda kimataifa uhuru wa habari

Tanzania imepiga hatua katika viwango vya kimataifa vya Uhuru wa Vyombo vya Habari kwa kupanda kutoka nafasi ya 97 mwaka 2024 hadi nafasi ya 95 mwaka [...]
Kuondolewa kwa zuio la biashara na usafirishaji wa mazao ya kilimo kati ya Tanzania na nchi za Malawi na Afrika Kusini

Kuondolewa kwa zuio la biashara na usafirishaji wa mazao ya kilimo kati ya Tanzania na nchi za Malawi na Afrika Kusini

Serikali kupitia Wizara ya Kilimo ilitangaza tarehe 23 Aprili 2025, kuzuia mazao kutoka nchi za Afrika Kusini na Malawi kuingia katika mipaka ya Tanza [...]
Dk Mpango kumuwakilisha Rais Samia mazishi ya Papa Francisco

Dk Mpango kumuwakilisha Rais Samia mazishi ya Papa Francisco

Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk Philip Mpango anatarajiwa kumuwakilisha Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan katika mazishi ya aliyekuwa Kiongozi Mkuu [...]
Rais Samia atuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Papa Francis

Rais Samia atuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Papa Francis

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametuma salamu za pole kwa waumini wa Kanisa Katoliki ndani na nje ya nchi kufuat [...]
1 2 3 57 10 / 567 POSTS
error: Content is protected !!