Category: Kimataifa

1 2 3 61 10 / 606 POSTS
Ripoti za Amnesty na HRW zakosolewa na serikali ya Tanzania

Ripoti za Amnesty na HRW zakosolewa na serikali ya Tanzania

Serikali ya Tanzania imekosoa ripoti za Amnesty International (AI) na Human Rights Watch (HRW) kuhusu matukio ya vurugu yaliyojitokeza wakati wa Uchag [...]
Tanzania yaendelea kung’ara Afrika kwa kuvutia uwekezaji wa madini

Tanzania yaendelea kung’ara Afrika kwa kuvutia uwekezaji wa madini

Tanzania imeendelea kuimarisha nafasi yake kama moja ya vivutio vikubwa vya uwekezaji katika sekta ya madini baada ya kushika nafasi ya 34 kati ya mae [...]
Ruto aitaja SGR ya Tanzania mfano bora wa uwekezaji wa kikanda

Ruto aitaja SGR ya Tanzania mfano bora wa uwekezaji wa kikanda

Rais wa Jamhuri ya Kenya, Mhe. William Samoei Ruto, ameipongeza Tanzania kwa mafanikio ya mradi wa reli ya kisasa (Standard Gauge Railway (SGR) Aki [...]
Museveni Mwenyekiti mpya EAC

Museveni Mwenyekiti mpya EAC

Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Museveni amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa kipindi kuanzia machi 2026 hadi 2028. Rais Muse [...]
ATCL yatangaza safari maalum ya ndege kati ya Dar na Dubai

ATCL yatangaza safari maalum ya ndege kati ya Dar na Dubai

Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) limetangaza kuendesha safari maalum ya ndege kati ya Dar es Salaam na Dubai siku ya Jumapili, Machi 8, 2026, kwa leng [...]
Tanzania yatoa wito wa amani kufuatia hali inayoendelea Mashariki ya Kati

Tanzania yatoa wito wa amani kufuatia hali inayoendelea Mashariki ya Kati

Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepokea kwa masikitiko matukio yanayoendelea kujitok [...]
Moody’s yathibitisha daraja la B1 kwa Tanzania huku ukuaji wa uchumi ukiendelea licha ya changamoto za kisiasa

Moody’s yathibitisha daraja la B1 kwa Tanzania huku ukuaji wa uchumi ukiendelea licha ya changamoto za kisiasa

Shirika la kimataifa la tathmini ya mikopo Moody’s Ratings limethibitisha daraja la Tanzania la B1 kwa muda mrefu katika mikopo ya sarafu ya ndani na [...]
Somalia na Tanzania zaimarisha ushirikiano wa uhamiaji kupitia MoU mpya

Somalia na Tanzania zaimarisha ushirikiano wa uhamiaji kupitia MoU mpya

Somalia na Tanzania zimetia saini Hati ya Makubaliano (MoU) yenye lengo la kuimarisha ushirikiano katika usimamizi wa masuala ya uhamiaji na kuongeza [...]
Biashara kati ya Malawi na Tanzania yaongezeka kwa asilimia 13.5

Biashara kati ya Malawi na Tanzania yaongezeka kwa asilimia 13.5

Biashara kati ya Malawi na Tanzania imeongezeka kutoka dola za Marekani milioni 86.5 mwaka 2021 hadi dola milioni 98.2 mwaka 2024, ikiwa ni ukuaji wa [...]
UN yaisifu Tanzania kwa kuwa na mifumo imara ya maridhiano

UN yaisifu Tanzania kwa kuwa na mifumo imara ya maridhiano

Rais Samia Suluhu Hassan, amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Amina Mohammed, ambaye ameisifu Tanzania kwa [...]
1 2 3 61 10 / 606 POSTS
error: Content is protected !!