Category: Kimataifa
Marekani yalegeza makali muswada dhidi ya Tanzania
Bunge la Marekani, limeondoa baadhi ya vipengele vilivyotoa masharti makali kuhusu uhusiano wa Taifa hilo na Tanzania, huku moja ya mabadiliko makubwa [...]
Ziara ya Rais Samia Urusi yafungua fursa mpya za ushirikiano
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo, amesema ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu [...]
Urusi yataka kuendeleza sekta ya gesi Tanzania na bandari za Bahari ya Hindi
Balozi wa Urusi nchini Tanzania, Andrey Avetisyan, amesema Tanzania ina nafasi kubwa ya kuwa kitovu muhimu cha biashara kwa Urusi katika kuimarisha bi [...]
Putin akutana na Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan: Mahusiano ya Tanzania na Urusi yaendelea kuimarika mwaka 2026
Rais wa Urusi, Vladimir Putin, alikutana na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, jijini Moscow tarehe 3 Juni kwa mazungumzo ya kuimarisha ushirikian [...]
Rais Samia Suluhu atunukiwa Shahada ya Heshima wakati wa ziara ya kiserikali Urusi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametunukiwa Shahada ya Heshima (Honorary Doctorate) wakati wa ziara yake ya kiserik [...]
Rais Samia asisitiza ushirikiano wa kikanda katika maendeleo ya nishati ya nyuklia Afrika
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewahutubia washiriki wakati wa Hafla Rasmi ya Ufunguzi wa Mkutano wa Ubunifu wa Nishat [...]
Bei ya mafuta yasababisha mgomo wa magari Kenya
Wamiliki wa magari ya uchukuzi wa umma nchini Kenya wameanza mgomo leo Jumatatu wakipinga nyongeza ya bei ya mafuta iliyotangazwa wiki iliyopita.
P [...]
Bei ya mafuta Kenya yapaa zaidi, dizeli na petroli zaizidi Tanzania
Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati na Petroli nchini Kenya (EPRA) imetangaza ongezeko jipya la bei ya mafuta, hatua iliyosababisha Kenya kuwa na bei kubwa [...]
IMF yavutiwa na mwenendo wa uchumi wa Tanzania
Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) na Serikali ya Tanzania zimekubaliana katika ngazi ya wataalamu ukamilishaji wa tathmini za mwisho za mpango wa uf [...]
Rais Ruto: Maadui wa Tanzania na Kenya ni changamoto za kijamii na kiuchumi
Rais wa Kenya, William Ruto, amesema kuwa maadui wa mataifa ya Tanzania na Kenya si raia wa nchi hizo bali ni changamoto za kijamii na kiuchumi.
“M [...]

