Category: Kimataifa
Museveni Mwenyekiti mpya EAC
Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Museveni amechaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa kipindi kuanzia machi 2026 hadi 2028.
Rais Muse [...]
ATCL yatangaza safari maalum ya ndege kati ya Dar na Dubai
Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) limetangaza kuendesha safari maalum ya ndege kati ya Dar es Salaam na Dubai siku ya Jumapili, Machi 8, 2026, kwa leng [...]
Tanzania yatoa wito wa amani kufuatia hali inayoendelea Mashariki ya Kati
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepokea kwa masikitiko matukio yanayoendelea kujitok [...]
Moody’s yathibitisha daraja la B1 kwa Tanzania huku ukuaji wa uchumi ukiendelea licha ya changamoto za kisiasa
Shirika la kimataifa la tathmini ya mikopo Moody’s Ratings limethibitisha daraja la Tanzania la B1 kwa muda mrefu katika mikopo ya sarafu ya ndani na [...]
Somalia na Tanzania zaimarisha ushirikiano wa uhamiaji kupitia MoU mpya
Somalia na Tanzania zimetia saini Hati ya Makubaliano (MoU) yenye lengo la kuimarisha ushirikiano katika usimamizi wa masuala ya uhamiaji na kuongeza [...]
Biashara kati ya Malawi na Tanzania yaongezeka kwa asilimia 13.5
Biashara kati ya Malawi na Tanzania imeongezeka kutoka dola za Marekani milioni 86.5 mwaka 2021 hadi dola milioni 98.2 mwaka 2024, ikiwa ni ukuaji wa [...]

UN yaisifu Tanzania kwa kuwa na mifumo imara ya maridhiano
Rais Samia Suluhu Hassan, amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Amina Mohammed, ambaye ameisifu Tanzania kwa [...]
Tanzania yaendelea kuongoza soko la Parachichi India
Parachichi nchini India yanapatikana kwa wingi kupitia uagizaji kutoka nje, huku soko likiwa katika hali ya kawaida bila mabadiliko makubwa kwa sasa, [...]
Zimbabwe yapendekeza kuongeza mihula ya Rais na Bunge hadi miaka saba
Baraza la Mawaziri la Zimbabwe limeidhinisha muswada wa marekebisho ya Katiba unaolenga kuongeza muda wa mihula ya Rais na Bunge kutoka miaka mitano h [...]
Rais Samia kuwa balozi wa huduma za mama na mtoto barani Afrika
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amechaguliwa rasmi kuwa Balozi wa Huduma za Afya ya Mama na Mtoto barani Afrik [...]

