Category: Kimataifa
Venezuela kukabidhi kati ya mapipa milioni 30 hadi 50 ya mafuta kwa Marekani
Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza kuwa Mamlaka za Mpito nchini Venezuela zitakabidhi kati ya mapipa milioni 30 hadi 50 ya mafuta ya ubora wa [...]
Tanzania yawakamata Wakenya 5 waliovuka mpaka Horohoro
Mamlaka za Tanzania zimewakamata raia watano wa Kenya, wakiwemo maafisa wawili wa polisi, baada ya kuvuka mpaka katika eneo la Horohoro kwa lengo la k [...]

Ajira 10,000 za zalishwa katika Mradi wa EACOP
Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembe, amesema mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kutoka Uganda hadi Tanzania umezalisha zaid [...]
Raia 32 wa Cuba wafariki katika shambulizi la Marekani nchini Venezuela
Serikali ya Cuba inaripoti kuwa raia 32 wa Cuba walikufa katika mashambulizi yaliyofanywa na vikosi vya Marekani nchini Venezuela mapema Jumamosi asub [...]
Utafiti: Tanzania yaongoza orodha ya nchi zinazopendwa zaidi na Wakenya kuhamia
Ripoti ya Glass House Brand Trust 2025, imeonyesha kuwa Tanzania imezishinda nchi zote za Afrika Mashariki na kuwa chaguo kuu kwa Wakenya wanaotaka ku [...]
Kuhusu Azimio la Bunge la Umoja wa Ulaya (EU) Kuhusiana na Tanzania na Mapendekezo ya Kuzuia kwa Muda Kusaini Mikataba ya Fedha Ubia kwa Mwaka 2025
Kuhusu Azimio la Bunge la Umoja wa Ulaya (EU) Kuhusiana na Tanzania na Mapendekezo ya Kuzuia kwa Muda Kusaini Mikataba ya Fedha Ubia kwa Mwaka 2025
[...]
Asilimia 0.7 Tu: EU Sio Tegemeo la Bajeti ya Tanzania
Siku moja baada ya Umoja wa Ulaya (EU) kupitisha azimio la kusitisha msaada wa Euro milioni 156 (takriban Sh bilioni 400) uliokuwa umetengwa kwa ajili [...]
Tanzania, Korea kushirikiana kiuchumi
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Korea zimefungua ukurasa mpya wa ushirikiano wa kiuchumi kupitia Jukwaa la Biashara la Tanzania Korea (T [...]

Marekani yafutilia mbali mradi wa KSh7.7 bilioni wa usafiri jijini Nairobi
Marekani imefutilia mbali mradi wa thamani ya KSh7.7 bilioni wa usafiri jijini Nairobi, uliokubaliwa wakati wa utawala wa Rais Joe Biden na rasmi kuid [...]
Tovuti za wizara nchini Kenya zadukuliwa
Tovuti kadhaa za wizara muhimu nchini Kenya zimevamiwa na shambulio la kimtandao leo asubuhi, hali iliyosababisha kukosekana kwa huduma kwa muda.
K [...]

