Category: Kimataifa

1 2 3 60 10 / 596 POSTS
Tanzania yaendelea kuongoza soko la Parachichi India

Tanzania yaendelea kuongoza soko la Parachichi India

Parachichi nchini India yanapatikana kwa wingi kupitia uagizaji kutoka nje, huku soko likiwa katika hali ya kawaida bila mabadiliko makubwa kwa sasa, [...]
Zimbabwe yapendekeza kuongeza mihula ya Rais na Bunge hadi miaka saba

Zimbabwe yapendekeza kuongeza mihula ya Rais na Bunge hadi miaka saba

Baraza la Mawaziri la Zimbabwe limeidhinisha muswada wa marekebisho ya Katiba unaolenga kuongeza muda wa mihula ya Rais na Bunge kutoka miaka mitano h [...]
Rais Samia kuwa balozi wa huduma za mama na mtoto barani Afrika

Rais Samia kuwa balozi wa huduma za mama na mtoto barani Afrika

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amechaguliwa rasmi kuwa Balozi wa Huduma za Afya ya Mama na Mtoto barani Afrik [...]
Rushwa nchini Kenya yadhoofisha uchumi

Rushwa nchini Kenya yadhoofisha uchumi

Ripoti ya Tume ya Maadili na Kupambana na Rushwa ya Kenya (EACC) ya mwaka 2024 inaonesha kuwa rushwa bado ni tatizo kubwa linaloathiri moja kwa moja u [...]
Tanzania China za kubaliana kuendeleza ushirikiano wa kimkakati

Tanzania China za kubaliana kuendeleza ushirikiano wa kimkakati

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo, amekutana na kufanya mazungumzo ya pande mbili na mgeni w [...]
Venezuela kukabidhi kati ya mapipa milioni 30 hadi 50 ya mafuta kwa Marekani

Venezuela kukabidhi kati ya mapipa milioni 30 hadi 50 ya mafuta kwa Marekani

Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza kuwa Mamlaka za Mpito nchini Venezuela zitakabidhi kati ya mapipa milioni 30 hadi 50 ya mafuta ya ubora wa [...]
Tanzania yawakamata Wakenya 5 waliovuka mpaka Horohoro

Tanzania yawakamata Wakenya 5 waliovuka mpaka Horohoro

Mamlaka za Tanzania zimewakamata raia watano wa Kenya, wakiwemo maafisa wawili wa polisi, baada ya kuvuka mpaka katika eneo la Horohoro kwa lengo la k [...]
Ajira 10,000 za zalishwa katika Mradi wa EACOP

Ajira 10,000 za zalishwa katika Mradi wa EACOP

Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembe, amesema mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kutoka Uganda hadi Tanzania umezalisha zaid [...]
Raia 32 wa Cuba wafariki katika shambulizi la Marekani nchini Venezuela

Raia 32 wa Cuba wafariki katika shambulizi la Marekani nchini Venezuela

Serikali ya Cuba inaripoti kuwa raia 32 wa Cuba walikufa katika mashambulizi yaliyofanywa na vikosi vya Marekani nchini Venezuela mapema Jumamosi asub [...]
Utafiti: Tanzania yaongoza orodha ya nchi zinazopendwa zaidi na Wakenya kuhamia

Utafiti: Tanzania yaongoza orodha ya nchi zinazopendwa zaidi na Wakenya kuhamia

Ripoti ya Glass House Brand Trust 2025, imeonyesha kuwa Tanzania imezishinda nchi zote za Afrika Mashariki na kuwa chaguo kuu kwa Wakenya wanaotaka ku [...]
1 2 3 60 10 / 596 POSTS
error: Content is protected !!