Category: Kimataifa

1 10 11 12 13 14 56 120 / 554 POSTS
Barua ya Museveni akiiomba Kenya msamaha

Barua ya Museveni akiiomba Kenya msamaha

Rais wa Uganda, Yoweri Museveni ameomba msamaha wananchi wa Kenya na Jumuiya ya Afrika Mashariki kutokana na mijadala iliyoanzishwa na mtoto wake Jene [...]
Dkt. Tax ateuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Nje

Dkt. Tax ateuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Nje

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri. Amemteua Mhe. Dkt. Stergomena L [...]
Rais Samia ashinda tuzo 2

Rais Samia ashinda tuzo 2

Rais Samia Suluhu Hassan ametangazwa na Jumuiya ya Kimataifa ya Watetezi na Amani kuwa mshindi wa tuzo mbili za kimataifa ikiwemo ya amani duniani 202 [...]
Polisi Kenya wanamsaka Mtanzania aliyemuua mwenzake kisa ugali

Polisi Kenya wanamsaka Mtanzania aliyemuua mwenzake kisa ugali

Polisi nchini Kenya wanamtafuta kijana wa Kitanzania anayedaiwa kumua mwenzake wakigombani bakuli la ugali. Kamanda wa Polisi Kaunti ya Narok, Kizi [...]
Royal Tour Tanzania  yazinduliwa nchini Sweden

Royal Tour Tanzania yazinduliwa nchini Sweden

Serikali ya Tanzania kupitia ubalozi wake uliopo Sweden imezindua filamu ya Royal Tour jijini Stockholm kwa lengo la kuwavutia watalii kutembelea vivu [...]
Tanzania na Falme za Kiarabu zasaini mkataba kuondoa utozaji kodi mara mbili

Tanzania na Falme za Kiarabu zasaini mkataba kuondoa utozaji kodi mara mbili

Tanzania na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) zimesaini makubaliano ya kuondoa utozaji kodi mara mbili, wadau wametoa maoni tofauti kuhusu faida na hasa [...]
Japan kutimiza ahadi ya miradi minane Tanzania

Japan kutimiza ahadi ya miradi minane Tanzania

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amekutana na Waziri Mkuu wa Japan, Fumio Kishida na kuwasilisha salamu za pole kutoka kwa Rais Samia Suluhu Hassan kutokan [...]
Rais Samia : Watanzania wekezeni Msumbiji

Rais Samia : Watanzania wekezeni Msumbiji

Rais Samia Suluhu amewataka Watanzania wanaoishi na kufanya biashara nchini Msumbiji kutumia fursa ya ushirikiano wa nchi hizo mbili kuwekeza kwa faid [...]
Tanzania kuchangia bilioni 2.3 Global Fund

Tanzania kuchangia bilioni 2.3 Global Fund

Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango a,etoa mwito kwa mataifa duniani kuungana katika kutoa mchango kwa Mfuko wa Kimataifa wa Kupambana na Ukimwi, Kifua K [...]
Wabunge wapya wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki

Wabunge wapya wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki

Hatimaye mara baada ya kusubiri kwa muda mrefu wabunge tisa watakaoiwakilisha Tanzania katika Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (Eala)  wamepatikan [...]
1 10 11 12 13 14 56 120 / 554 POSTS
error: Content is protected !!