Category: Kimataifa
Tanzania na India kusaini mikataba mipya 15 ya ushirikiano
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, anajiandaa kwa ziara ya kihistoria ya kiserikali nchini India kuanzia Oktoba 8 hadi 11, [...]
Rais Samia ateuliwa kuwa mjumbe wa GCA
Rais Samia Suluhu ameteuliwa rasmi kuwa Mjumbe wa Bodi ya Ushauri ya Kituo cha Dunia cha Uhimilivu wa Mabadiliko ya Tabianchi (Advisory Board of the G [...]
Rais Samia Suluhu apongezwa kushiriki Mkutano wa 15 wa BRICS
Wachambuzi wa kiuchumi na kidiplomasia wamempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuhudhuria Mkutano Mkuu wa 15 wa BRICS uliofanyika Johannesburg, Afri [...]
Rais Samia asisitiza uwepo wa mfumo rafiki wa kimataifa wa fedha
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa wito wa kutafuta namna ya kukabiliana na changamoto ya mfumo wa kimataifa wa kifedha, unaozuia upatikanaji wa fedha za [...]
Tanzania yashika nafasi ya pili utalii Afrika
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Dk Hassan Abbas, amesema Tanzania imeshika nafasi ya pili kwa kupata watalii wengi zaidi Afrika kwa robo [...]
IMF yaipongeza Tanzania kwa utulivu wa kiuchumi
Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Fedha Duniani (IMF), Bo Li, ameipongeza Tanzania kuwa na utulivu wa kiuchumi wakati ambao kimataifa mazingira [...]
Rais Samia awaeleza viongozi wa Afrika njia ya kuwasaidia vijana
Rais Samia Suluhu Hassan amesema njia pekee ya kuwa na vijana watakaosaidia kulijenga taifa lenye maendeleo kwa siku za mbeleni ni kuwekeza kwenye mta [...]
Kenya: Shule za fungwa kupisha maandamano
Serikali nchini Kenya imetoa agizo la kufungwa kwa shule zote za msingi na sekondari za mchana jijini Nairobi na Mombasa kabla y [...]
Upungufu wa chakula SADC waongezeka 25.7%
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa rai kwa nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) kuanza kutekeleza kikamilifu sera bora za k [...]
Rais Samia apongezwa na USAID kwa mageuzi ya kiuchumi na kidemokrasia
Msimamizi wa Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Marekani (USAID), Bi. Samantha Power, amekiri azma ya Rais Samia Suluhu Hassan katika kukuza mageuzi [...]