Category: Kimataifa

1 5 6 7 8 9 59 70 / 586 POSTS
Rais Ruto amteua Kindiki kuwa naibu rais

Rais Ruto amteua Kindiki kuwa naibu rais

RAIS wa Kenya, William Ruto amemteua Profesa, Kithure Kindiki kuwa naibu rais akichukuwa nafasi ya Rigathi Gachagua, ambaye aliondolewa madarakani na [...]
Adani Foundation yaanzisha mpango wa kielimu wa kwanza Afrika nchini Tanzania

Adani Foundation yaanzisha mpango wa kielimu wa kwanza Afrika nchini Tanzania

Tanzania East Africa Gateway Terminal Limited (TEAGTL), kupitia Adani Foundation, imetangaza kusaini Makubaliano ya Ushirikiano (MoU) na IIT-Madras Za [...]
Rais Samia: Nileteeni taarifa kuhusu Kibao

Rais Samia: Nileteeni taarifa kuhusu Kibao

Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amegiza Vyombo vya Uchunguzi kumpatia taarifa ya kina haraka kuhusu tukio baya la mauaji ya Kiongozi wa CHAD [...]
Rais Samia: Tushirikiane kwenye uvumbuzi wenye manufaa

Rais Samia: Tushirikiane kwenye uvumbuzi wenye manufaa

Rais Samia Suluhu Hassan amewasihi wakuu wa nchi na serikali mbalimbali kujikita zaidi kwenye uvumbuzi wenye manufaa ya kijamii na kiuchumi ili maende [...]
Rais Samia amuunga mkono Raila Odinga AU

Rais Samia amuunga mkono Raila Odinga AU

Nairobi, Kenya – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amempongeza kwa dhati Mheshimiwa Raila Amolo Odinga kwa uongozi wake wa [...]
Uhamisho wa Wamasai kutoka katika eneo la Hifadhi la Ngorongoro umekuwa na mvutano mkubwa kitaifa na kimataifa

Uhamisho wa Wamasai kutoka katika eneo la Hifadhi la Ngorongoro umekuwa na mvutano mkubwa kitaifa na kimataifa

Uhamisho wa Wamasai kutoka katika Eneo la Hifadhi la Ngorongoro (NCA) umekuwa na mvutono mkubwa kitaifa na kimataifa. Ili kuelewa hali ya sasa, ni [...]
Rais Samia kuhudhuria Mkutano wa SADC

Rais Samia kuhudhuria Mkutano wa SADC

Rais Samia Suluhu anatarajia kuhudhuria Mkutano wa 44 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika ( SADC) utakaofanyika Ago [...]
Umoja wa Afrika watoa tahadhari ya Mpox

Umoja wa Afrika watoa tahadhari ya Mpox

Uangalizi wa afya wa Umoja wa Afrika umetangaza dharura ya afya ya umma kutokana na kuenea kwa ugonjwa wa mpox barani Afrika, ukisema kuwa hatua hiyo [...]
Ruto atangaza Baraza la Mawaziri

Ruto atangaza Baraza la Mawaziri

Rais wa Kenya, William Ruto ametangaza orodha nyingine ya Mawaziri wapya 10. Kwenye Orodha hiyo, Ruto amechagua mpaka mawaziri kutoka vyama vya Upinza [...]
Ford Foundation yakana tuhuma za Rais Ruto

Ford Foundation yakana tuhuma za Rais Ruto

Nairobi, Kenya - Shirika la hisani la kimataifa lenye makao yake Marekani, Ford Foundation, limekanusha madai ya Rais William Ruto kwamba limefadhili [...]
1 5 6 7 8 9 59 70 / 586 POSTS
error: Content is protected !!