Category: Kitaifa
Rais Samia: Uimara wa taifa letu ni pamoja na mchango mkubwa wa Jenista
Rais Samia Suluhu Hassan ameongoza familia, viongozi, wabunge na waombolezaji wengine, katika ibada ya kuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Per [...]
Tathmini ya tamko la Kamati Kuu ya Baraza Kuu la Chadema Taifa kuhusu uchaguzi mkuu wa Oktoba 29,2025
√ Ukweli, Upotoshaji na Uhalisia wa Mambo
Na GULATONE MASIGA
Katika siku za karibuni, Kamati Kuu ya Baraza Kuu la CHADEMA ilitoa tamko kuhusu uc [...]
Ujenzi wa kituo cha mafunzo ya Uongezaji thamani madini waanza
Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde amemtaka mkandarasi wa ujenzi wa kituo cha Jemolojia Tanzania (TGC) kukamilisha ujenzi wa majengo ya kituo cha m [...]

Wananchi wasilisheni taarifa za vurugu za Oktoba 29
Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani uliotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 imeanza rasmi kazi zake.
Tume hiyo [...]
Rais Samia Suluhu amlilia Jenista
Rais Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za rambirambi kwa Spika wa Bunge, Mussa Azzan Zungu kufuatia kifo cha Mbunge wa Jimbo la Peramiho, Jenista Mha [...]
Bandari ya Kilwa yaanza kupokea meli za shehena ya bidhaa mchanganyiko
Bandari ya Kilwa imeendelea kufungua milango mipya ya kibiashara baada ya kuanza kupokea Meli za shehena ya bidhaa mchanganyiko kwenda Nchini Comoro.
[...]

Mikakati mahsusi na maalum ya serikali ya kukuanza uwekezaji nchini na kukuza ajira kwa mtanzania
MIKAKATI YA KUKUZA UWEKEZAJI NCHINI
1. Itaanzisha Kituo Maalum cha kuhudumia na kuwezesha wawekezaji vijana (Youth Investors Resource Centre).
2 [...]
Rais Samia: Walidhamiria kuipindua nchi Oktoba 29
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kulikuwa na jaribio la kuipindua nchi na kuondoa dola iliyopo madarakani katika maandamano yaliyofanyika siku ya Ucha [...]
Yafahamu mambo 6 yatakayochunguzwa na Tume Huru ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani
Tume Huru ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 29, mwaka huu, imeweka wazi mae [...]
Uwekezaji wa Rais Samia wazaa matunda: Meli ya makontena 463 yatua Tanga kwa mara ya kwanza
Bandari ya Tanga kwa mara ya kwanza imeandika historia baada ya kupokea Meli ya MV PARNIA yenye Makontena 463 kutoka Iran.
Akiongea mara baada ya k [...]

