Category: Kitaifa

1 2 3 202 10 / 2017 POSTS
Rais Samia: Uimara wa taifa letu ni pamoja na mchango mkubwa wa Jenista

Rais Samia: Uimara wa taifa letu ni pamoja na mchango mkubwa wa Jenista

Rais Samia Suluhu Hassan ameongoza familia, viongozi, wabunge na waombolezaji wengine, katika ibada ya kuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Per [...]
Tathmini ya tamko la Kamati Kuu ya Baraza Kuu la Chadema Taifa kuhusu uchaguzi mkuu wa Oktoba 29,2025

Tathmini ya tamko la Kamati Kuu ya Baraza Kuu la Chadema Taifa kuhusu uchaguzi mkuu wa Oktoba 29,2025

√ Ukweli, Upotoshaji na Uhalisia wa Mambo Na GULATONE MASIGA Katika siku za karibuni, Kamati Kuu ya Baraza Kuu la CHADEMA ilitoa tamko kuhusu uc [...]
Ujenzi wa kituo cha mafunzo ya Uongezaji thamani madini waanza

Ujenzi wa kituo cha mafunzo ya Uongezaji thamani madini waanza

Waziri wa Madini Mhe. Anthony Mavunde amemtaka mkandarasi wa ujenzi wa kituo cha Jemolojia Tanzania (TGC) kukamilisha ujenzi wa majengo ya kituo cha m [...]
Wananchi wasilisheni taarifa za vurugu za Oktoba 29

Wananchi wasilisheni taarifa za vurugu za Oktoba 29

Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani uliotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 imeanza rasmi kazi zake. Tume hiyo [...]
Rais Samia Suluhu amlilia Jenista

Rais Samia Suluhu amlilia Jenista

Rais Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za rambirambi kwa Spika wa Bunge, Mussa Azzan Zungu kufuatia kifo cha Mbunge wa Jimbo la Peramiho, Jenista Mha [...]
Bandari ya Kilwa yaanza kupokea meli za shehena ya bidhaa mchanganyiko

Bandari ya Kilwa yaanza kupokea meli za shehena ya bidhaa mchanganyiko

Bandari ya Kilwa imeendelea kufungua milango mipya ya kibiashara baada ya kuanza kupokea Meli za shehena ya bidhaa mchanganyiko kwenda Nchini Comoro. [...]
Mikakati mahsusi na maalum ya serikali ya kukuanza uwekezaji nchini na kukuza ajira kwa mtanzania

Mikakati mahsusi na maalum ya serikali ya kukuanza uwekezaji nchini na kukuza ajira kwa mtanzania

MIKAKATI YA KUKUZA UWEKEZAJI NCHINI 1. Itaanzisha Kituo Maalum cha kuhudumia na kuwezesha wawekezaji vijana (Youth Investors Resource Centre). 2 [...]
Rais Samia: Walidhamiria kuipindua nchi Oktoba 29

Rais Samia: Walidhamiria kuipindua nchi Oktoba 29

Rais Samia Suluhu Hassan amesema kulikuwa na jaribio la kuipindua nchi na kuondoa dola iliyopo madarakani katika maandamano yaliyofanyika siku ya Ucha [...]
Yafahamu mambo 6 yatakayochunguzwa na Tume Huru ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani

Yafahamu mambo 6 yatakayochunguzwa na Tume Huru ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani

Tume Huru ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 29, mwaka huu, imeweka wazi mae [...]
Uwekezaji wa Rais Samia wazaa matunda: Meli ya makontena 463 yatua Tanga kwa mara ya kwanza

Uwekezaji wa Rais Samia wazaa matunda: Meli ya makontena 463 yatua Tanga kwa mara ya kwanza

Bandari ya Tanga kwa mara ya kwanza imeandika historia baada ya kupokea Meli ya MV PARNIA yenye Makontena 463 kutoka Iran. Akiongea mara baada ya k [...]
1 2 3 202 10 / 2017 POSTS
error: Content is protected !!