Category: Kitaifa
Vituo vya gesi asilia 12 kuanza kazi mwishoni mwa mwaka
Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limetangaza kuwa vituo vya gesi asilia iliyoshindiliwa (CNG) zaidi ya 12 vitakuwa vinafanya kazi ifika [...]
TRA yakusanya asilimia 103.9 ya lengo la makusanyo kwa kipindi cha Julai 2024 – Juni 2025
Katika kipindi cha mwaka wa fedha 2024/2025 (Julai 2024 - Juni 2025 ) Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imefanikiwa kukusanya jumla ya shilingi Trilion [...]
Kiwanda kikubwa zaidi cha kuzalisha mbolea Afrika Mashariki chazinduliwa Tanzania
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameshiriki uzinduzi wa kiwanda cha ITRACOM Fertilizers Ltd. tarehe 28 Juni 2025 [...]
Rais Samia afafanua mwenendo wa deni la taifa kwa dakika saba
Rais Samia Suluhu Hassan, ametumia dakika saba kutoa ufafanuzi wa kina kuhusu mwenendo wa deni la taifa na hatua zinazochukuliwa na Serikali kulidhibi [...]
Treni ya kwanza ya mizigo ya SGR imeanza safari yake ya kwanza
Treni ya kwanza ya mizigo ya SGR imeanza safari yake ya kwanza kati ya Dar Es Salaam na Dodoma.
Treni hiyo yenye jumla ya mabehewa 10 imebeba mizig [...]
Zaidi ya zahanati 1,000 zajengwa miaka minne ya Samia
Katika kipindi cha mwaka wa fedha 2020/2021 hadi 2024/2025 jumla ya zahanati 1,158 zimejengwa na kusajiliwa na zinatoa huduma.
Naibu Waziri, Ofisi [...]
Serikali yakaribisha wawekezaji mradi wa Dege Eco Village Kigamboni
Serikali imetangaza kuwakabidhi wawekezaji mradi wa Dege Eco Village uliopo Kigamboni jijini Dar es Salaam baada ya kujiridhisha kuwa ni hasara kuende [...]
Serikali yawarejesha watanzania 42 kutoka nchini Iran na Israel
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewarejesha salama nchini Watanzania 42 waliokuwa wakiishi Israel na Iran kufuatia mvutano wa kijeshi una [...]
Siku 7 za kazi Kanda ya Ziwa: Mama aacha alama kwenye maisha ya wananchi
Ziara ya siku saba (Juni 15 - Juni 21, 2025) ya Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan katika mikoa ya Simiyu na Mwanza imebadili maisha ya wananchi wa m [...]
Fahamu agizo la Rais Samia kuhusu ulinzi wa Ziwa Victoria
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema utekelezaji wa miradi yote ya maji imelenga kuboresha huduma ya majisaf [...]