Category: Kitaifa

1 2 3 183 10 / 1825 POSTS
Hungary kufungua ofisi ndogo ya ubalozi Tanzania

Hungary kufungua ofisi ndogo ya ubalozi Tanzania

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabid Kombo (Mb.), tarehe 21 Februari, 2025 jijini Budapest, Hungary, a [...]
BAKWATA yakemea upandishaji wa bei bidhaa kwenye mfungo

BAKWATA yakemea upandishaji wa bei bidhaa kwenye mfungo

Mwenyekiti wa Baraza la Waislamu Tanzania (BAKWATA), Wilaya ya Dodoma , Bashiru Omary amewataka wafanyabiashara kutotumia mwezi mtukufu wa Ramadhani k [...]
Rais Samia kuhudhuria Mkutano wa AU

Rais Samia kuhudhuria Mkutano wa AU

Rais Dk Samia Suluhu Hassan amewasili Addis Ababa kufanya ziara ya kikazi kuanzia leo hado Februari 16, kushiriki Mkutano wa Kawaida wa 38 wa Wakuu wa [...]
Bandari ya Bagamoyo haijauzwa

Bandari ya Bagamoyo haijauzwa

Serikali ya Tanzania imekanusha uvumi unaodai kuwa mamlaka zake zimeuza Bandari ya Bagamoyo kwa Kampuni ya Uwekezaji na Maendeleo ya Saudi Arabia (SAD [...]
Rais Samia atoa wito wa kusitisha mapigano DRC

Rais Samia atoa wito wa kusitisha mapigano DRC

Dar es Salaam – Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametoa wito kwa pande zote zinazohusika katika mgogoro wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC [...]
Waziri Mkuu wa DRC awasili Tanzania

Waziri Mkuu wa DRC awasili Tanzania

Balozi wa Tanzania katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Mhe. Said Mshana amempokea Waziri Mkuu wa DRC, Mhe. Judith Suminwa aliyewasili nchin [...]
Rais Museveni awasili Tanzania

Rais Museveni awasili Tanzania

Rais wa Jamhuri ya Uganda, Mhe. Yoweri Kaguta Museveni amewasili nchini Tanzania na kupokelewa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa [...]
CCM imedhamiria kufanya uchaguzi wa uadilifu

CCM imedhamiria kufanya uchaguzi wa uadilifu

KATIBU Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk. Emmanuel Nchimbi, amesema Chama cha Mapinduzi, kimedhamiria kuwa uchaguzi ujao utakuwa ni wa uadilifu na [...]
Rais Samia Suluhu kuongoza Mkutano wa kujadili mgogoro wa DRC

Rais Samia Suluhu kuongoza Mkutano wa kujadili mgogoro wa DRC

Dar es Salaam – Rais wa Kenya, William Ruto, amethibitisha kuwa Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Félix Tshisekedi, na Rais wa Rwanda, P [...]
Rais Samia Kupokea Tuzo ya Gates Goalkeepers kwa Uongozi Bora katika Afya

Rais Samia Kupokea Tuzo ya Gates Goalkeepers kwa Uongozi Bora katika Afya

Dar es Salaam – Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kupokea The Gates Goalkeepers Award, tuzo inayotolewa na Bill & Melinda Gates F [...]
1 2 3 183 10 / 1825 POSTS
error: Content is protected !!