Category: Kitaifa
210 wafutiwa mashitaka ya uhaini Arusha, Dar, Mwanza
Mkurugenzi wa MashtakaTanzania (DPP), amewafutia kesi na kuwaachia huru washtakiwa 210 waliokuwa wakikabiliwa na mashtaka ya kula njama na kutenda kos [...]
Dkt. Samia aagiza fedha za sherehe ya kuadhimisha 9 Desemba zikarabati miundombinu iliyoharibiwa Oktoba 29
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan ameagiza fedha za sherehe zilizopangwa kuadhimisha Desemba 9, 2025 zitumike kukarabat [...]
Serikali yaagiza Kanisa la Ufufuo na Uzima lifunguliwe
Waziri Mkuu, Dkt Mwigulu Nchemba ameagiza kufunguliwa kwa Kanisa la Ufufuo na Uzima, huku akielekeza lipewe miezi sita ya uangalizi katika kuzingatia [...]
Benki Kuu ya Tanzania yatoa hakikisho usalama wa mifumo ya malipo
Benki Kuu ya Tanzania imekanusha taarifa kuhusu usalama mdogo wa mifumo ya malipo na akaunti za amana katika benki na taasisi za fedha.
Taarifa ili [...]
Ushirikiano na DP World waongeza mapato
Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa ameeleza kuwa Serikali kwa kushirikiana na DP World mapato yameongezeka kutoka Sh bilioni 900 hadi trilion [...]
China, Tanzania na Zambia kufufua reli ya TAZARA kupitia mkataba mpya wa dola bilioni 1.4
Nchi za China, Tanzania na Zambia zimeanza rasmi hatua za kufufua na kuboresha Reli ya TAZARA, mradi mkubwa wa kihistoria uliojengwa katika kipindi ch [...]
Dkt Samia: Nafasi hizi sio fahari ni dhamana kuwatumikia wananchi
Rais Samia Suluhu Hassan amesema nafasi alizowapa mawaziri na naibu mawaziri sio fahari, bali ni dhamana za kuwatumikia wananchi.
Amesema watakaoub [...]
Dkt Samia: Nataka matokeo kwa wananchi sio michakato inaendelea
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan amewaapisha mawaziri na naibu mawaziri wake, huku akiwaeleza katika muhula wa pili wa Serikali yake, anataka kuona matoke [...]
Usafiri wa mwendokasi Mbagala kurejea Novemba 20
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ameziagiza kampuni ya usafiri wa mabasi yaendayo haraka (UDART) pamoja na taasisi mbalimbali za Serik [...]
Bil 146/- kujenga barabara za lami Ilala
Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, amesema wilaya hiyo inatekeleza ujenzi wa barabara za lami zenye jumla ya kilomita 146 kwa thamani ya Sh bili [...]

