Category: Kitaifa

Hii hapa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya Mwaka 2025-2030
WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa wameipitisha na kuizindua rasmi Ilani ya utekelezaji ya CCM ya mwaka 2025 – 2030 katika uku [...]

CCM Yazindua Ilani ya Uchaguzi 2025–2030
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimekamilisha maandalizi ya Ilani yake mpya ya Uchaguzi kwa mwaka 2025, ambayo imewasilishwa rasmi leo Mei 30, 2025 katika M [...]
Lesotho yajifunza kutoka Tanzania kuhusu usimamizi wa nishati
Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati ya Lesotho, Bwana Tonkiso Phapano, ameongoza ujumbe maalum nchini Tanzania kwa ziara ya kimafunzo kuhusu usimamizi wa [...]
2024/2025 walimu wapya wa sayansi 5,115 waajiriwa
Walimu 5,115 wa masomo ya sayansi wameajiriwa katika kipindi cha mwaka 2024/2025 na kuwa wamepangiwa katika maeneo yenye upungufu zaidi.
Naibu Wazi [...]
Rais Samia aridhia ajira mpya 300 TRA
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia ombi la kuongeza nafasi za ajira 300 katika mamlaka hiyo.
Taarifa ya Mk [...]
Hospitali ya Rufaa Manyara yaanza kutoa huduma za kusafisha figo
Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Manyara imepiga hatua katika kuboresha huduma za afya za kibingwa kwa wananchi baada ya kuzindua rasmi huduma ya usafish [...]
Kituo kikubwa cha upandikizaji figo kujengwa Tanzania
Serikali ya Tanzania inatarajia kuanza ujenzi wa kituo kikubwa cha kupandikiza figo pamoja, hatua inayoboresha upatikanaji wa huduma hiyo kwa urahisi [...]
Mradi wa umeme wa Kilovoti 132 Tabora wabakiza asilimia 5 kukamilika
Shirika la Umeme nchini (TANESCO) limesema ujenzi wa miundombinu ya umeme wa msongo wa Kilovoti 132 kutoka Tabora hadi Katavi unaofanywa na kampuni ta [...]
Waziri wa Mambo ya Nje wa Kenya aunga mkono kauli ya Rais Samia Suluhu
Waziri wa Mambo ya Nje Musalia Mudavadi amekiri kuwa ukosoaji wa hivi majuzi wa Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kuhusu tabia ya Wakenya huenda un [...]
Polisi yawasaka waliosambaza taarifa za upotoshaji mtandaoni kupitia X (Zamani Twitter)
Jeshi la Polisi nchini limetangaza kuanza msako maalum dhidi ya watu wanaodaiwa kusambaza taarifa za upotoshaji mtandaoni kupitia jukwaa la kijamii la [...]