Category: Kitaifa
Rais Samia kuzindua Dira ya Maendeleo 2050: Njia ya mafanikio na ujumuishi
Tanzania inajiandaa kuingia katika enzi mpya ya maendeleo huku Rais Samia Suluhu Hassan akitarajiwa kuzindua rasmi Dira ya Maendeleo ya Taifa 2050 (TD [...]
Mavunde akabidhi jengo la kupumzikia wananchi Hospitali ya Mkoa Dodoma
Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Mh. Anthony Mavunde amekabidhi jengo la kupumzikia wananchi katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ambalo litasaidia kutatu [...]
Tozo ya mafuta ilivyokamilisha ujenzi wa Daraja la Mawe la Mto Mmbaga
Ujenzi wa daraja la mawe eneo la Mto Mmbaga unaounganisha kijiji cha Jema na kata ya Oldonyosambu wilayani Ngorongoro umesaidia kuondoa changamoto kwa [...]
Rais Samia Suluhu akabidhiwa Tuzo Maalum ya ‘Power of 100 Women Award
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Tuzo Maalum ya ‘Power of 100 Women Award kutoka kwa Uongozi wa Access [...]
Boti ya uokozi yamkosha Rais Samia Suluhu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema ni faraja kubwa kuona boti ya utafutaji na uokoaji imeshushwa katika m [...]
Uwekezaji wa sekta binafsi wazidi kuinufaisha Bandari ya Dar es Salaam
Katika kipindi cha Julai hadi Machi mwaka wa fedha 2024/2025, Bandari ya Dar es Salaam imeendelea kunufaika na uwekezaji wa waendeshaji binafsi, hatua [...]
Askofu Shoo: Michango ya Rais Samia kwenye makanisa na misikiti sio rushwa
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kikristo nchini Tanzania CCT, Askofu Dkt. Fredrick Shoo amesema Rais Samia Suluhu anapotoa michango kwenye makanisa na misiki [...]
Vituo vya gesi asilia 12 kuanza kazi mwishoni mwa mwaka
Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limetangaza kuwa vituo vya gesi asilia iliyoshindiliwa (CNG) zaidi ya 12 vitakuwa vinafanya kazi ifika [...]
TRA yakusanya asilimia 103.9 ya lengo la makusanyo kwa kipindi cha Julai 2024 – Juni 2025
Katika kipindi cha mwaka wa fedha 2024/2025 (Julai 2024 - Juni 2025 ) Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imefanikiwa kukusanya jumla ya shilingi Trilion [...]
Kiwanda kikubwa zaidi cha kuzalisha mbolea Afrika Mashariki chazinduliwa Tanzania
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameshiriki uzinduzi wa kiwanda cha ITRACOM Fertilizers Ltd. tarehe 28 Juni 2025 [...]

