Category: Kitaifa

1 19 20 21 22 23 203 210 / 2027 POSTS
Rais Samia kuzindua ujenzi mradi wa umwagiliaji Mkomazi

Rais Samia kuzindua ujenzi mradi wa umwagiliaji Mkomazi

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuweka Jiwe la msingi la ujenzi wa Bwawa la Mkomazi pamoja na kushuhudia utiaji saini wa mikataba miwili ya [...]
Mkutano wa G25 waazimia kuongeza thamani ya zao la kahawa Afrika

Mkutano wa G25 waazimia kuongeza thamani ya zao la kahawa Afrika

Rais Samia Suluhu Hassan amesema mkutano wa tatu wa nchi zinazozalisha kahawa barani Afrika unapaswa kuazimia kuongeza thamani ya zao hilo ili kufikia [...]
Hungary kufungua ofisi ndogo ya ubalozi Tanzania

Hungary kufungua ofisi ndogo ya ubalozi Tanzania

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabid Kombo (Mb.), tarehe 21 Februari, 2025 jijini Budapest, Hungary, a [...]
BAKWATA yakemea upandishaji wa bei bidhaa kwenye mfungo

BAKWATA yakemea upandishaji wa bei bidhaa kwenye mfungo

Mwenyekiti wa Baraza la Waislamu Tanzania (BAKWATA), Wilaya ya Dodoma , Bashiru Omary amewataka wafanyabiashara kutotumia mwezi mtukufu wa Ramadhani k [...]
Rais Samia kuhudhuria Mkutano wa AU

Rais Samia kuhudhuria Mkutano wa AU

Rais Dk Samia Suluhu Hassan amewasili Addis Ababa kufanya ziara ya kikazi kuanzia leo hado Februari 16, kushiriki Mkutano wa Kawaida wa 38 wa Wakuu wa [...]
Bandari ya Bagamoyo haijauzwa

Bandari ya Bagamoyo haijauzwa

Serikali ya Tanzania imekanusha uvumi unaodai kuwa mamlaka zake zimeuza Bandari ya Bagamoyo kwa Kampuni ya Uwekezaji na Maendeleo ya Saudi Arabia (SAD [...]
Rais Samia atoa wito wa kusitisha mapigano DRC

Rais Samia atoa wito wa kusitisha mapigano DRC

Dar es Salaam – Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametoa wito kwa pande zote zinazohusika katika mgogoro wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC [...]
Waziri Mkuu wa DRC awasili Tanzania

Waziri Mkuu wa DRC awasili Tanzania

Balozi wa Tanzania katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Mhe. Said Mshana amempokea Waziri Mkuu wa DRC, Mhe. Judith Suminwa aliyewasili nchin [...]
Rais Museveni awasili Tanzania

Rais Museveni awasili Tanzania

Rais wa Jamhuri ya Uganda, Mhe. Yoweri Kaguta Museveni amewasili nchini Tanzania na kupokelewa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa [...]
CCM imedhamiria kufanya uchaguzi wa uadilifu

CCM imedhamiria kufanya uchaguzi wa uadilifu

KATIBU Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk. Emmanuel Nchimbi, amesema Chama cha Mapinduzi, kimedhamiria kuwa uchaguzi ujao utakuwa ni wa uadilifu na [...]
1 19 20 21 22 23 203 210 / 2027 POSTS
error: Content is protected !!