Category: Kitaifa
Fahamu jinsi ya kuepuka maumivu ya Januari 2023
‘Njaanuari’ ndivyo ambavyo baadhi ya watu huuita Januari ambao kwa mujibu wa kalenda ndiyo mwezi wa kwanza wa mwaka.
Jina hilo linaashiria machungu y [...]
Salamu za mwaka mpya za Rais Samia Suluhu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amehutubia Taifa nakutoa salam za kuaga Mwaka 2022 na kuukaribisha Mwaka mpya wa 2023 [...]
Fahamu fukwe 5 zisizo na kiingilio Dar es Salaam
Najua utajuliza kuhusu gharama na mwingiliano wa watu ambao wakati mwingine unaweza kusababisha kukosekana kwa utulivu, usihofu zipo fukwe nyingi jiji [...]
Top 6 Watanzania waliong’ara 2022
Kama hatua za binadamu zinavyopishana pale atembeapo ndivyo maisha ya binadamu yalivyo. Wakati mmoja akienda mbele mmoja hubaki nyuma na Waswahili wa [...]
Ajiua akihofia kudaiwa hela ya soda
Kijana anayefahamika kwa jina la Bukindu Bukindu (22), mkazi wa kijiji cha Ihega, Kata ya Bukoli wilayani Geita amejiua kwa kunywa sumu ya panya, aki [...]
Sangara wapungua Ziwa Victoria
Samaki aina ya sangara wamepungua katika Ziwa Victoria kutoka tani 537,479 mwaka 2020 hadi tani 335,170 kwa mwaka 2021.
Ofisa Uvuvi wa Mkoa wa Mwan [...]
Tanzania 10 bora nchi tajiri Afrika 2022
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, inashika namba 9 kwenye orodha ya nchi 10 tajiri kwa mujibu wa ripoti ya mtandao wa Zoom Afrika kwa mwaka 2022, Tanza [...]
Bilioni 2.2 za Rais Samia zakamilisha madarasa 110 Ilemela
Wanafunzi 12,548 waliofaulu kujiunga na kidato cha kwanza katika Halmashauri ya Manispaa ya Ilemela hawatakosa sehemu ya kusomea baada ya halmashauri [...]
Mahakama yatoa ruksa wafungwa kupiga kura jela
Mahakama Kuu ya Tanzania imetengua Kifungu cha 11 (1) (c) cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2015 kinachozuia wafungwa kup [...]
Fahamu faida za kulala ofisini
Kulala kwa angalau dakika 30 ukiwa kazini ni kitu muhimu sana kwani mwili umekua umechoka kwa kufanya kazi kwa muda mrefu hivyo unapojipumzisha na kis [...]