Category: Kitaifa
Polepole aondolewa hadhi ya ubalozi, uteuzi wake watenguliwa
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imethibitisha kuwa Rais Samia Suluhu Hassan, ametengua uteuzi wa Hamphrey Polepole aliye [...]
Mpina ahamia ACT Wazalendo
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kisesa na Waziri wa zamani wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina amehamia rasmi chama cha ACT Wazalendo leo Agosti 5, 2025.
Mp [...]
Serikali yapiga marufuku biashara 15 kwa wageni
Kwa mara nyingine tena, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, ameonesha dhamira yake ya dhati ya kusikiliza na kuta [...]
Taasisi 88 zapatiwa vibali kusimamia Uchaguzi Mkuu 2025
Jumla ya Taasisi za ndani 76 na nje 12 zimepata kibali cha kuwa waangalizi wa Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani unaotarajiwa kufanyika Oktoba [...]
Daraja la Masagi mkombozi kwa wananchi wa Iramba
Kukamilika kwa daraja la Masagi linalojengwa katika barabara ya Kibirigi–Masagi kunatarajiwa kuunganisha vijiji vya Kibirigi, Masagi na Tyeme katika K [...]
Kiwanda cha kuunganisha pikipiki na bajaji kujengwa Chamwino
Kiwanda kipya cha kwanza cha kuunganisha pikipiki na bajaji kitajengwa katika Wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma.
Kiwanda hicho kitajengwa mkoani hom [...]
Hii hapa Ratiba ya uteuzi wa wagombea CCM
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetoa ratiba mpya ya vikao vya uteuzi wa watia nia wa nafasi za ubunge, uwakilishi na udiwani ili kufanikisha mchakato wa [...]
Waziri Aweso aitaka kasi na ubora kwa wakandarasi wa Mradi wa Maji Njombe
Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso, amewakemea wakandarasi wa mradi wa maji wa miji 28 unaotekelezwa Wanging'ombe na Makambako, mkoani Njombe, kutokana [...]
Sh bilioni 298 kugharamia kifua kikuu, UKIMWI na Malaria
Jumla ya Sh bilioni 298 zimetumika na serikali kwa mwaka wa fedha 2024/25 na 2025/26 kuongeza nguvu manunuzi ya dawa na vifaa tiba ili kufidia fedha z [...]
Uzalishaji madini Geita waongezeka kwa 20%
Katika kipindi cha miaka minne ya uongozi wa Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais Samia Suluhu Hassan, mkoa wa Geita umepata mafanikio makubwa yaki [...]

