Fahamu juu ya mtandao kuzimwa leo Duniani

HomeKimataifa

Fahamu juu ya mtandao kuzimwa leo Duniani

Haupaswi kuwa na wasiwasi wa kutokuwa na mtandao wa ‘internet’ kwenye simu yako au kompyuta yako kuanzia leo Septemba 30, labda kama unatumia kifaa cha zamani.

Siku ya leo alhamisi, kuna kifaa muhimu sana ambacho kazi yake ni kuunganisha ‘internet za simu’, kompyuta za Apple (Mac) pamoja na Windows na vinginevyo vinavyotumika kwenye michezo kama games. Kifaa hicho ambacho muda wake wa kutumika ni tarehe 30 Septemba 2021. Kifaa hiki kinafanya kazi ya kuunganisha vifaa na intaneti, inaweza kuwa simu au kompyuta. Kazi yake ni kuhakikisha vifaa vimeunganishwa katika hali ya usalama wa hali ya juu na kuoana kwa kubadilishwa mifumo.

Kufanya mfumo kuwa na taarifa mpya (iOS, Android, Windows, na mengine) kunaruhusu aina hii ya ‘certificates’ kuna taarifa mpya kila mara, na zile zote ambazo zimepitwa na wakati zinaondolewa na kuingizwa mpya.

Ni watu wataathirika?

Hakuna athari zitakazotokea kwenye vifaa vingi vinavyotumia intaneti. Lakini vifaa vyote vyenye mifumo ya zamani vitaathiriwa, vitakosa mtandao.

Miongoni mwao ni mifumo ya Kompyuta ambayo haijawahi kuunganishwa na intaneti au simu za kisasa ‘smartphones’ ambazo hazijawahi kuunganishwa na mtandao kupitia Wi-Fi au zile ambazo hazijawahi kuboreshwa taarifa za zamani kwa miaka mitano au zaidi. Hii ni kwa sababu kuna kompyuta kadhaa zinatumia IdenTrust DST Root CA X3 certificate kutoka mamlaka ya kimtandao ya Let’s Encrypt, iliyozinduliwa mwaka 2000 na kumalizika muda wake leo Septemba 30.

Unafahamu vifaa gani vitaathiriwa zaidi? Vipo vifaa kadhaa ambavyo vitaathiriwa na hatua ya ‘kuzimwa kwa mtandao’ Simu za IPhone ambazo zinatumia mfumo wa chini ya iOS 10 (iPhone 5 ni toleo la zamani ambalo linaweza kuweka mfumo huu). Kompyuta zenye Windows XP SP3MacBooks zote zenye mifumo ya nyuma kabla ya macOS ya mwaka 2016.

Kompyuta zenye mfumo wa nyuma kabla ya Ubuntu 1 6.04 PlayStation 3 zinazotumia firmware na Nintendo 3DS Simu za Android za toleo kabla ya Nougat 7.1.1 (lakini zinaweza kutumia intaneti lakini kupitia Firefox browser). Firefox browser ya toleo la chini ya 50.

Kompyuta zinazotumia OpenSSL, NNS, Java 8 na 7. Vifaa vingine ambavyo hakuna uhakika kama vitaathiriwa kwa mujibu wa Helme, ni pamoja na simu za Blackberry (toleo la kabla ya 10.3.3) na vifaa vya kusomea vitabu Kindle book readers za toleo chini ya 3.4.1.

error: Content is protected !!