Rais ajiuzulu

HomeKimataifa

Rais ajiuzulu

Spika wa Bunge la Sri Lanka Mahinda Yapa Abeywardena ametangaza jana kuwa Rais wa nchi hiyo Gotabaya Rajapaksa amekubali kujiuzulu wadhifa wake July 13,2022 kufuatia maandamano ya vurugu.

error: Content is protected !!