Rais Samia afanya uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya GBT

HomeKitaifa

Rais Samia afanya uteuzi wa Mwenyekiti wa Bodi ya GBT

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Blaozi Modest Jonathan Mero (Mstaafua) kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Michezo ya Kubahatisha (GBT).

Balozi Mero ni Mkurugenzi wa Bodi ya Kampuni ya African Discovery Group, New York nchini Marekani.

 

error: Content is protected !!