Rais Samia atengua uteuzi bandarini

HomeKitaifa

Rais Samia atengua uteuzi bandarini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 04 Julai,2022 ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania, (TPA) Ndugu Eric Hamissi.

error: Content is protected !!