Tag: habari kubwa za michezo
Rais Samia kujenga chuo cha masuala ya anga Tanzania
Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali ina mpango wa kujenga chuo cha masuala ya anga nchini Tanzania kwa kushirikiana na Chuo K [...]
Rais Samia aanza ziara ya siku saba nchini Korea
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ameanza ziara ya siku saba katika Jamhuri ya Korea Kusini na leo anatarajiwa ku [...]
Rais Samia kuongoza Mkutano wa SADC Agosti, 2024
Kuanzia mwezi Agosti, 2024 Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atakuwa Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi n [...]
Sh. bilioni 241 kutekeleza vipaumbele vya Wizara ya Mambo ya Nje
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba ametaja vipaumbele vitano vya wizara hiyo katika Mwaka wa Fedha 2024/25.
[...]
Baraza la amani na usalama limesaidia kukabiliana na ugaidi Afrika
Rais Samia Suluhu hassan amesema Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika(AU) limezisaidia nchi za Afrika kujilinda dhidi ya matishio ya kiusalam [...]
Tanzania ya kwanza Afrika, ya tano duniani kwa ongezeko la watalii
Shirika la Utalii la Umoja wa Mataifa (UN) kupitia takwimu zake za robo ya kwanza ya mwaka 2024 katika Ripoti yake ya World Tourism Barometer imeitaja [...]
Rais Samia anadi matumizi ya nishati safi ya kupikia Ufaransa
Rais Samia Suluhu Hassan amesisitiza kwenye kuhakikisha suluhisho linapatikana ili kuwezesha upatikanaji wa nishati safi ya kupikia na nafuu barani Af [...]
Rais Samia kuwa mwenyekiti mwenza mkutano wa kimataifa wa nishati safi ya kupikia Ufaransa
Rais Samia Suluhu Hassan atasafiri kwenda Nchini Ufaransa kuhudhuria na kuwa Mwenyekiti mwenza wa mkutano wa kimataifa wa nishati safi ya kupikia unao [...]
Rais Samia: Wakati kuwekeza Tanzania ni sasa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania ipo tayari kwa uwekezaji na hivyo wawekezaji na wafanyabiashar [...]
Rais Samia aagiza mkakati wa nishati safi kutafsiriwa kwa lugha mbili
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Samia Suluhu Hassan ameiagiza wizara ya nishati kuhakikisha Mkakati wa Taifa wa Matumizi ya Nishati Safi [...]

