Tag: habari kubwa za michezo

1 47 48 49 50 51 123 490 / 1222 POSTS
Utaratibu wa kuomba Samia Scholarship

Utaratibu wa kuomba Samia Scholarship

Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imetoa maelekezo ya namna kuomba ufadhili wa Samia Scholarship kwa wale waliokidhi vigezo. [...]
Kicheko kwa wakulima , soko la tumbaku lafunguka

Kicheko kwa wakulima , soko la tumbaku lafunguka

Huenda wakulima watakuwa na uhakika wa soko la tumbaku baada ya wanunuzi kuongeza kiasi watakachonunua mwaka ujao wa kilimo. Kampuni ya Japan Tobacco [...]
Aliyesambaza taarifa za uongo kifo cha Mwakyembe adakwa

Aliyesambaza taarifa za uongo kifo cha Mwakyembe adakwa

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam, linawashikilia watuhumiwa wawili kwa makosa ya kimtandao kufuatia msako unaoendelea. Taarifa iliyoto [...]
Pweza kufuatiliwa kieletroniki Kilwa

Pweza kufuatiliwa kieletroniki Kilwa

Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa inaanzisha mfumo maalumu wa kufuatilia biashara ya pweza kielektroniki kuanzia wanapovuliwa, kusafirishwa hadi wanapouz [...]
Serikali kuajiri walimu 42,697 mwaka 2022-23

Serikali kuajiri walimu 42,697 mwaka 2022-23

Huenda uhaba wa walimu wa masomo ya Sayansi na Hesabu ukapungua nchini Tanzania na kuongeza ufaulu wa wanafunzi katika masomo hayo mara baada ya Serik [...]
Tanzania kuchangia bilioni 2.3 Global Fund

Tanzania kuchangia bilioni 2.3 Global Fund

Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango a,etoa mwito kwa mataifa duniani kuungana katika kutoa mchango kwa Mfuko wa Kimataifa wa Kupambana na Ukimwi, Kifua K [...]
Wabunge wapya wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki

Wabunge wapya wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki

Hatimaye mara baada ya kusubiri kwa muda mrefu wabunge tisa watakaoiwakilisha Tanzania katika Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (Eala)  wamepatikan [...]
Morrison alimwa faini

Morrison alimwa faini

Winga wa Yanga, Bernard Morrison amelimwa faini ya Sh1 milioni kwa kosa la kumkanyaga kwa makusudi mchezaji wa Azam FC, Lusajo Mwaikenda ambaye alikuw [...]
Ashikiliwa kwa kumuua mkewe baada ya kumuota mchawi

Ashikiliwa kwa kumuua mkewe baada ya kumuota mchawi

Jeshi la Polisi mkoani Tabora linamshikilia mkazi wa Kijiji cha Inala, Ali Mkonongo kwa tuhuma za kumuua mke wake, Mariam Yusuph kwa kumpiga na kitu k [...]
Tanzania yang’ara kuwa na usalama wa mtandao

Tanzania yang’ara kuwa na usalama wa mtandao

Tanzania imetajwa kuwa nchi ya pili katika kielezo cha usalama wa mtandao (GCI) kwa mawaka 2020, wka mujibu wa Shirika la Mawasiliano la Kimataifa (IT [...]
1 47 48 49 50 51 123 490 / 1222 POSTS
error: Content is protected !!