Tag: habari magazetini
Uchumi kukua kwa 5.2% mwaka 2023
Uchumi wa Tanzania unatarajia kukua kwa kasi ya asilimia 5.2 mwaka 2023 kutoka asilimia 4.7 mwaka jana ukichochewa zaidi na sababu mbalimbali zikiwemo [...]
Deni la serikali laongezeka kwa 13.9%
Deni la serikali hadi Aprili 2023, lilikuwa shilingi bilioni 79,100.19 sawa na ongezeko la asilimia 13.9 ikilinganishwa na Shilingi bilioni 69,440.01 [...]
Rais Samia ahimiza uhifadhi wa chakula
Rais Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania kutouza nje ya nchi chakula chote kinachovunwa bali kihifadhiwe kwa ajili ya kuongeza akiba itakayosaidi [...]
Rais Samia kushiriki tamasha la utamaduni, Mwanza
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya ziara kikazi mkoani Mwanza kwa siku tatu ambapo atashiriki uzinduzi wa tamasha la Bulabo pamoj [...]
Manufaa yatakayo patikana baada ya ushirikiano katika ya Serikali na Serikali ya Dubai.
Yafuatayo ni manufaa ambayo yanatarajiwa kupatikana iwapo Bunge letu Tukufu litaridhia Azimio hili na kuwezesha Serikali kuendelea na hatua zinazofuat [...]
Manufaa ya Mkataba uliosainiwa kati ya Tanzania na Serikali ya Dubai
Mnamo tarehe 28 Februari, 2022, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (Tanzania Ports Authorit [...]
Bei mpya za mafuta kuanza Juni 7, 2023
MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei kikomo za bidhaa za mafuta hapa nchini mwezi Juni, 2023.
Bei hizi zimeaanza [...]
Fahamu kuhusu ndege ya Air Tanzania Cargo
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, anatarajia kuwaongoza Watanzania kupokea ndege ya kwanza ya mizigo ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) aina ya B [...]
Magazeti ya leo Juni 2,2023
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Ijumaa Juni 2,2023.
[...]

