Tag: nafasi za kazi

1 11 12 13 14 15 80 130 / 800 POSTS
Rais Samia apewa maua yake na klabu ya Seattle Sounders Marekani

Rais Samia apewa maua yake na klabu ya Seattle Sounders Marekani

Mashabiki takribani 31,620 waliohudhuria mechi ya Ligi Kuu ya Soka ya Marekani na mamilioni zaidi duniani waliokuwa wakitazama “live” mechi ya Seattle [...]
Ruksa mabasi kuanza safari saa tisa usiku

Ruksa mabasi kuanza safari saa tisa usiku

Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imeruhusu mabasi ya mikoani yaanze safari saa tisa usiku. Latra imeagiza wamiliki wa mabasi wanaopenda [...]
Rais Samia atoa msamaha kwa wafungwa 376

Rais Samia atoa msamaha kwa wafungwa 376

Wafungwa 376 watanufaika na msamaha huu ambapo 6 wataachiliwa huru tarehe 26/04/2023 na 370 watabaki gerezani kumalizia sehemu ya kifungo kilichobaki [...]
Aliyeua na kula nyama za mtoto wake apelekwa rumande siku 10

Aliyeua na kula nyama za mtoto wake apelekwa rumande siku 10

Mahakama ya Kajiado imeamuru kuzuiliwa kwa mwanamke anayekabiliwa na shtaka la mauaji baada ya kudaiwa kumuua bintiye wa miaka miwili kwa kumkata vipa [...]
Yanayosubiriwa Mei Mosi mwaka huu

Yanayosubiriwa Mei Mosi mwaka huu

Ikiwa zimebaki siku chache kabla ya kufanyika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi), yapo mambayo kadhaa yakajitokeza katika sherehe z [...]
Nafasi za kazi Wizara ya Afya

Nafasi za kazi Wizara ya Afya

Wizara ya Afya imetangaza nafasi za ajira 247 zikihusisha madakitari bingwa 30, baada ya kupata Kibali cha Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa U [...]
Madini ya kinywe na adimu kuvutia uwekezaji nchini

Madini ya kinywe na adimu kuvutia uwekezaji nchini

Serikali inatarajia kuvutia uwekezaji wa Dola za Marekani milioni 667 sawa na Sh1.5 trilioni baada ya kuanza kuchimba na kuchakata madini ya kinywe na [...]
Rais Samia apongezwa kwa hatua alizochukua ripoti ya CAG

Rais Samia apongezwa kwa hatua alizochukua ripoti ya CAG

Baada ya dosari nyingi kufichuliwa na ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka 2021/22, watoa maoni mbalimbali wamehusi [...]
Serikali yapiga ‘stop’ mikopo ya halmashauri

Serikali yapiga ‘stop’ mikopo ya halmashauri

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amezielekeza halmashauri zisitishe utoaji wa fedha za mikopo kwa vikundi vya wanawake , vijana na watu wenye ulemavu zina [...]
Fahamu miji 8 mizuri barani Afrika

Fahamu miji 8 mizuri barani Afrika

Vyombo vingi vya habari hasa nje ya Afrika, hulizungumzia bara la Afrika kama masikini lenye mazingira ambayo siyo rafiki na kuonyesha picha zenye kue [...]
1 11 12 13 14 15 80 130 / 800 POSTS
error: Content is protected !!