Tag: nafasi za kazi
Magazeti ya leo Juni 1,2023
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Alhamisi Juni 1,2023.
[...]
Fahamu mambo 3 yaliyokwamisha uamuzi wa kuhamia Ikulu Chamwino
Wazo la kuhamisha Ikulu kutoka Dar es Salaam kwenda Dodoma lilianza mwaka 1973 ambapo Hayati Mwalimu Nyerere alitoa wazo hilo na kutaka likamilike nda [...]
Sekta ya Mawasiliano inazidi kukua nchini
Kutokana na Hotuba ya Wazari wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, iliyosomwa na Waziri Nape Nnauye imeonesha kuwa Sekta ya Mawasiliano imee [...]
Serikali yasikia kilio cha wafanyabiashara K/koo
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa anatarajia kukutana na kamati ya wafanyabiashara wa Soko la Kariakoo, Mawaziri wa sekta husika na Mamlaka ya Mapato Tanzan [...]
Rais Samia apewa maua yake na klabu ya Seattle Sounders Marekani
Mashabiki takribani 31,620 waliohudhuria mechi ya Ligi Kuu ya Soka ya Marekani na mamilioni zaidi duniani waliokuwa wakitazama “live” mechi ya Seattle [...]
Ruksa mabasi kuanza safari saa tisa usiku
Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imeruhusu mabasi ya mikoani yaanze safari saa tisa usiku.
Latra imeagiza wamiliki wa mabasi wanaopenda [...]
Rais Samia atoa msamaha kwa wafungwa 376
Wafungwa 376 watanufaika na msamaha huu ambapo 6 wataachiliwa huru tarehe 26/04/2023 na 370 watabaki gerezani kumalizia sehemu ya kifungo kilichobaki [...]
Aliyeua na kula nyama za mtoto wake apelekwa rumande siku 10
Mahakama ya Kajiado imeamuru kuzuiliwa kwa mwanamke anayekabiliwa na shtaka la mauaji baada ya kudaiwa kumuua bintiye wa miaka miwili kwa kumkata vipa [...]
Yanayosubiriwa Mei Mosi mwaka huu
Ikiwa zimebaki siku chache kabla ya kufanyika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi), yapo mambayo kadhaa yakajitokeza katika sherehe z [...]
Nafasi za kazi Wizara ya Afya
Wizara ya Afya imetangaza nafasi za ajira 247 zikihusisha madakitari bingwa 30, baada ya kupata Kibali cha Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa U [...]