Tag: nafasi za kazi

1 15 16 17 18 19 80 170 / 800 POSTS
Serikali kugharamia msiba wa watu 17 Tanga

Serikali kugharamia msiba wa watu 17 Tanga

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa maelekezo kuwa Serikali isimamie msiba wa Watu 17 waliofariki kwa ajali Tanga [...]
Waliondaki matusi wafutiwa matokeo

Waliondaki matusi wafutiwa matokeo

Baraza la Mitihani (NECTA) limefuta matokeo yote ya Watahiniwa wanne wa kidato cha nne mwaka 2022 walioandika lugha za matusi katika mitihani yao. [...]
Walimu waliomcheka mtoto akichapwa wasimamishwa kazi

Walimu waliomcheka mtoto akichapwa wasimamishwa kazi

Katibu Tawala Mkoa wa Kagera, Toba Nguvila amewasimamisha kazi watumishi watano akiwamo Mratibu Elimu Kata ya Kalanja na walimu wanne waliokuwa wanach [...]
Wakuu wapya wa wilaya 37

Wakuu wapya wa wilaya 37

Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Wakuu wa Wilaya Wapya 37.   [...]
Uzalishaji Umeme na gesi asilia waongezeka nchini

Uzalishaji Umeme na gesi asilia waongezeka nchini

Wizara ya Nishati imesema uwezo wa mitambo ya kuzalisha umeme iliyoungwa katika mfumo wa gridi ya taifa umeongezeka na kufi kia megawati 1,777.05 Dese [...]
Nafasi za kazi 320 TAKUKURU

Nafasi za kazi 320 TAKUKURU

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imetangaza nafasi 320 za kazi kwa vijana wa Kitanzania wenye umri usiozidi miaka 30. Nafasi hiz [...]
Vipipi vyapigwa marufuku Zanzibar

Vipipi vyapigwa marufuku Zanzibar

Mamlaka ya Chakula na Dawa Zanzibar (ZFDA) imepiga marufuku bidhaa aina ya Lump Sugar maarufu ‘Vipipi utamu’  vinavyodaiwa kutumiwa na baadhi ya wanaw [...]
Miradi 630 ya kampuni za India yasajiliwa kuwekeza Tanzania

Miradi 630 ya kampuni za India yasajiliwa kuwekeza Tanzania

Miradi mipya 630 ya uwekezaji inayotekelezwa na kampuni za India yenye thamani za dola 3.68 bilioni imesajiliwa katika mwaka wa fedha 2021/2022 kupiti [...]
Magazeti ya leo Januari 19,2023

Magazeti ya leo Januari 19,2023

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Alhamisi Januari 19,2023. [...]
1 15 16 17 18 19 80 170 / 800 POSTS
error: Content is protected !!