Tag: trending videos

1 68 69 70 71 72 123 700 / 1230 POSTS
Wachochezi bei ya umeme na Loliondo wasakwa

Wachochezi bei ya umeme na Loliondo wasakwa

Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema serikali imesema itawashitaki waliohamasisha wananchi wafanye vurugu Loliondo na wanaopotosha kuhusu h [...]
Mtanzania amtwanga Mjerumani kwa TKO

Mtanzania amtwanga Mjerumani kwa TKO

Bondia Mtanzania anayeishi nchini Sweden Awadhi Tamim amemtwanga Bondia Shkelqim Ademaj wa Ujerumani kwa TKO katika pambano la raundi 10 lililofanyika [...]
Nchi 10 za Afrika zenye shida ya upatikanaji wa umeme

Nchi 10 za Afrika zenye shida ya upatikanaji wa umeme

Kabla ya kufunua orodha, ni muhimu kuzingatia mambo machache. Kwanza, bara la Afrika kwa sasa lina ufikivu mbaya zaidi wa umeme duniani. Na changamoto [...]
Justin Bieber apooza uso

Justin Bieber apooza uso

Msanii kutoka nchini Canada, Justin Bieber ameweka video fupi Kwenye ukurasa wake wa Instagram akieleza wazi kwamba amesitisha show zake kutokana na u [...]
Magazeti ya leo Juni 11,2022

Magazeti ya leo Juni 11,2022

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumamosi Juni 11,2022. [...]
Ukweli kuhusu wakazi wa  Ngorongoro

Ukweli kuhusu wakazi wa Ngorongoro

Serikali  imesema wananchi wa maeneo ya Loliondo wapo salama ikibainisha kuwa “hakuna mapambano yoyote” kati ya polisi na wakazi hao wa kaskazini mwa [...]
Samia: wapeni raha wafanyabiashara

Samia: wapeni raha wafanyabiashara

Rais Samia Suluhu amepiga marufuku wafanyabiashara kupewa ankara za kodi za miaka mitano hadi sita nyuma kwa kuwa hilo sio kosa lao bali ni la mamlaka [...]
Samia atoa milioni 500 kwa ajili ya  maji

Samia atoa milioni 500 kwa ajili ya maji

Rais Samia Suluhu anazidi kuzinufaisha mamlaka za maji baada ya kuagiza zipatiwe Sh milioni 500 kama mkopo kwa ajili ya kusaidia uunganishaji maji kwa [...]
Herrera apewa ubalozi Zanzibar

Herrera apewa ubalozi Zanzibar

Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla akimkabidhi cheti cha ubalozi wa Utalii wa Zanzibar kiungo wa timu ya [...]
Corona ipo

Corona ipo

Wizara ya Afya nchini Tanzania imewataka Watanzania kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya maambukizi ya Uviko-19 ikiwemo kupata chanjo kwa sababu ugon [...]
1 68 69 70 71 72 123 700 / 1230 POSTS
error: Content is protected !!