Wasemayo wananchi sakata la Gwajima na Silaa

HomeKitaifa

Wasemayo wananchi sakata la Gwajima na Silaa

Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima ameadhibiwa na Bunge baada ya kukutwa na hatia ya kulidharau na kuhususha hadhi ya Bunge. Askofu Gwajima ametakiwa kutohudhuria mikutano ya Bunge miwili mfululizo huku Mbunge wa Ukonga, Jerry Silaa naye akikumbana na adhabu ya kutohudhuria mikutano miwili ya Bunge na kuondolewa kwenye uwakilishi wa Bunge la Afrika (PAP).

Baada ya maamuzi hayo ya Bunge, watu mbalimbali wametoa maoni kupitia mitandao ya kijamii, na haya ni baadhi tu;

 

error: Content is protected !!