Author: Cynthia Chacha

1 8 9 10 11 12 249 100 / 2489 POSTS
Rais Samia azindua jengo la Halmashauri Bumbuli

Rais Samia azindua jengo la Halmashauri Bumbuli

Rais Samia Suluhu Hassan amezindua jengo la Utawala la Halmashauri ya Wilaya ya Bumbuli mkoani Tanga lililogharimu zaidi ya shilingi bilioni 3,2. J [...]
Rais Samia kuzindua ujenzi mradi wa umwagiliaji Mkomazi

Rais Samia kuzindua ujenzi mradi wa umwagiliaji Mkomazi

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuweka Jiwe la msingi la ujenzi wa Bwawa la Mkomazi pamoja na kushuhudia utiaji saini wa mikataba miwili ya [...]
Mkutano wa G25 waazimia kuongeza thamani ya zao la kahawa Afrika

Mkutano wa G25 waazimia kuongeza thamani ya zao la kahawa Afrika

Rais Samia Suluhu Hassan amesema mkutano wa tatu wa nchi zinazozalisha kahawa barani Afrika unapaswa kuazimia kuongeza thamani ya zao hilo ili kufikia [...]
Hungary kufungua ofisi ndogo ya ubalozi Tanzania

Hungary kufungua ofisi ndogo ya ubalozi Tanzania

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabid Kombo (Mb.), tarehe 21 Februari, 2025 jijini Budapest, Hungary, a [...]
BAKWATA yakemea upandishaji wa bei bidhaa kwenye mfungo

BAKWATA yakemea upandishaji wa bei bidhaa kwenye mfungo

Mwenyekiti wa Baraza la Waislamu Tanzania (BAKWATA), Wilaya ya Dodoma , Bashiru Omary amewataka wafanyabiashara kutotumia mwezi mtukufu wa Ramadhani k [...]
Rais Samia kuhudhuria Mkutano wa AU

Rais Samia kuhudhuria Mkutano wa AU

Rais Dk Samia Suluhu Hassan amewasili Addis Ababa kufanya ziara ya kikazi kuanzia leo hado Februari 16, kushiriki Mkutano wa Kawaida wa 38 wa Wakuu wa [...]
Bandari ya Bagamoyo haijauzwa

Bandari ya Bagamoyo haijauzwa

Serikali ya Tanzania imekanusha uvumi unaodai kuwa mamlaka zake zimeuza Bandari ya Bagamoyo kwa Kampuni ya Uwekezaji na Maendeleo ya Saudi Arabia (SAD [...]
Viongozi wa EAC na SADC Watangaza Maamuzi Muhimu Kuhusu Mgogoro wa DRC

Viongozi wa EAC na SADC Watangaza Maamuzi Muhimu Kuhusu Mgogoro wa DRC

Dar es Salaam, 8 Februari 2025 – Viongozi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) wamekubaliana juu ya h [...]
Ramaphosa awasili Tanzania

Ramaphosa awasili Tanzania

Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde (Mb.) amempokea Rais wa Jamhuri ya Afrika Kusini, Mhe. Cyril Ramaphosa ambaye amewasili nchini Tanzania kushiri [...]
Tanzania yaendelea kusaidia juhudi za amani DRC

Tanzania yaendelea kusaidia juhudi za amani DRC

Dar es Salaam – Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuwa Tanzania itaendelea kusaidia juhudi za kidiplomasia katika kumaliza mgogoro masha [...]
1 8 9 10 11 12 249 100 / 2489 POSTS
error: Content is protected !!