Author: Cynthia Chacha
Kazi Iendelee: Rais Samia azindua safari ya treni ya kisasa ya SGR
Dar es Salaam, Tanzania – Rais Samia Suluhu Hassan amezindua rasmi safari ya treni ya kisasa ya SGR (Standard Gauge Railway) leo, akisisitiza dhamira [...]
SGR Tanzania: Reli bora yenye miundombinu ya kisasa
Dar es Salaam, Tanzania – Rais Samia Suluhu Hassan leo amezindua rasmi kipande cha kwanza cha Reli ya Kisasa ya SGR (Standard Gauge Railway), mradi mk [...]
Kiongozi mkuu wa Hamas auawa
Kiongozi wa kisiasa wa kundi la Hamas la Palestina Ismail Haniyeh ameuwa katika mji mkuu wa Iran, Tehran, vyombo vya Habari vya serikali ya Iran vimes [...]
Rais Samia: Uchumi wetu ni himilivu
Rais Samia Suluhu Hassan ameelezea mafanikio makubwa ambayo Tanzania imeyapata katika kuimarisha uchumi na kutengeneza mazingira bora ya uwekezaji na [...]
Rais Samia awahimiza viongozi wateule kusimamia uhuru wa habari na maendeleo ya kidigitali
Dar es Salaam, Tanzania - Rais Samia Suluhu Hassan leo amewaapisha viongozi wapya katika sherehe iliyofanyika Ikulu, Dar es Salaam. Akihutubia wakati [...]
Ruto atangaza Baraza la Mawaziri
Rais wa Kenya, William Ruto ametangaza orodha nyingine ya Mawaziri wapya 10. Kwenye Orodha hiyo, Ruto amechagua mpaka mawaziri kutoka vyama vya Upinza [...]
Ford Foundation yakana tuhuma za Rais Ruto
Nairobi, Kenya - Shirika la hisani la kimataifa lenye makao yake Marekani, Ford Foundation, limekanusha madai ya Rais William Ruto kwamba limefadhili [...]
CCM yamjibu Nape kuhusu ushindi wa chaguzi
Dar es Salaam, Tanzania - Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndg. Amos Makalla, kimetoa maj [...]
Rais Samia azindua maghala na vihenge Rukwa, aahidi uboreshaji wa sekta ya kilimo
Leo, Rais Samia Suluhu Hassan amezindua maghala ya kuhifadhi nafaka mkoani Rukwa, katika jitihada za kukuza sekta ya kilimo nchini. Akizungumza katika [...]
Mchechu: Taasisi zote za umma zitaanza kuchapisha taarifa za kifedha
Serikali ya Tanzania, kupitia Ofisi ya Msajili wa Hazina, imetangaza kuwa taasisi zote za umma nchini zitaanza kuchapisha taarifa zao za kifedha.
M [...]