Author: Cynthia Chacha

1 11 12 13 14 15 265 130 / 2646 POSTS
Rorya yatumia milioni 99 kwa ajili ya mikopo 10%

Rorya yatumia milioni 99 kwa ajili ya mikopo 10%

Halmashauri ya Wilaya ya Rorya mkoani Mara imetoa Shilingi milioni 99 kwa ajili ya kuwawezesha kiuchumi vijana, wanawake na watu wenye ulemavu, ikiwa [...]
Serikali mbioni kuvipa vyombo vya habari ruzuku

Serikali mbioni kuvipa vyombo vya habari ruzuku

Serikali imesema inatafakari kuona namna ya kufadhili vyombo vya habari kwa kuvipa ruzuku. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Prof [...]
Rais Samia kuzindua Dira ya Maendeleo 2050: Njia ya mafanikio na ujumuishi

Rais Samia kuzindua Dira ya Maendeleo 2050: Njia ya mafanikio na ujumuishi

Tanzania inajiandaa kuingia katika enzi mpya ya maendeleo huku Rais Samia Suluhu Hassan akitarajiwa kuzindua rasmi Dira ya Maendeleo ya Taifa 2050 (TD [...]
Mavunde akabidhi jengo la kupumzikia wananchi Hospitali ya Mkoa Dodoma

Mavunde akabidhi jengo la kupumzikia wananchi Hospitali ya Mkoa Dodoma

Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Mh. Anthony Mavunde amekabidhi jengo la kupumzikia wananchi katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ambalo litasaidia kutatu [...]
Tozo ya mafuta ilivyokamilisha ujenzi wa Daraja la Mawe la Mto Mmbaga

Tozo ya mafuta ilivyokamilisha ujenzi wa Daraja la Mawe la Mto Mmbaga

Ujenzi wa daraja la mawe eneo la Mto Mmbaga unaounganisha kijiji cha Jema na kata ya Oldonyosambu wilayani Ngorongoro umesaidia kuondoa changamoto kwa [...]
Rais Samia Suluhu akabidhiwa Tuzo Maalum ya ‘Power of 100 Women Award

Rais Samia Suluhu akabidhiwa Tuzo Maalum ya ‘Power of 100 Women Award

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Tuzo Maalum ya ‘Power of 100 Women Award kutoka kwa Uongozi wa Access [...]
Boti ya uokozi yamkosha Rais Samia Suluhu

Boti ya uokozi yamkosha Rais Samia Suluhu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema ni faraja kubwa kuona boti ya utafutaji na uokoaji imeshushwa katika m [...]
Uwekezaji wa sekta binafsi wazidi kuinufaisha Bandari ya Dar es Salaam

Uwekezaji wa sekta binafsi wazidi kuinufaisha Bandari ya Dar es Salaam

Katika kipindi cha Julai hadi Machi mwaka wa fedha 2024/2025, Bandari ya Dar es Salaam imeendelea kunufaika na uwekezaji wa waendeshaji binafsi, hatua [...]
Rais Samia: Tanzania na Comoro kushirikiana kukabiliana na changamoto za tabianchi

Rais Samia: Tanzania na Comoro kushirikiana kukabiliana na changamoto za tabianchi

Moroni, Comoro – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameeleza dhamira ya Tanzania kuimarisha ushirikiano na Comoro katika ku [...]
Askofu Shoo: Michango ya Rais Samia kwenye makanisa na misikiti sio rushwa

Askofu Shoo: Michango ya Rais Samia kwenye makanisa na misikiti sio rushwa

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kikristo nchini Tanzania CCT, Askofu Dkt. Fredrick Shoo amesema Rais Samia Suluhu anapotoa michango kwenye makanisa na misiki [...]
1 11 12 13 14 15 265 130 / 2646 POSTS
error: Content is protected !!