Author: Cynthia Chacha

1 2 3 4 270 20 / 2699 POSTS
DRC yashangazwa na ubora wa matibabu Muhimbili

DRC yashangazwa na ubora wa matibabu Muhimbili

Gavana wa Jimbo la Maniema, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Mhe. Moise Kabwankubi ameongoza ujumbe kutoka nchi hiyo kuzuru Hospitali ya Taifa [...]
Tanzania yazindua Mradi wa Umeme wa Jua kwa visiwa 120

Tanzania yazindua Mradi wa Umeme wa Jua kwa visiwa 120

Serikali ya Tanzania Jumamosi imezindua mradi wa kusambaza umeme wa jua unaolenga visiwa 120 vilivyopo katika mikoa minane inayopakana na maziwa makuu [...]
Tume ya uchunguzi vurugu za uchaguzi wa Oktoba 2025 yaongezewa muda hadi Aprili 3

Tume ya uchunguzi vurugu za uchaguzi wa Oktoba 2025 yaongezewa muda hadi Aprili 3

Mamlaka ya uteuzi imeongeza muda wa siku 42 kuanzia tarehe 20 Februari kwa Tume ya Kuchunguza Matukio ya Uvunjifu wa Amani Wakati na Baada ya Uchaguzi [...]
Moody’s yathibitisha daraja la B1 kwa Tanzania huku ukuaji wa uchumi ukiendelea licha ya changamoto za kisiasa

Moody’s yathibitisha daraja la B1 kwa Tanzania huku ukuaji wa uchumi ukiendelea licha ya changamoto za kisiasa

Shirika la kimataifa la tathmini ya mikopo Moody’s Ratings limethibitisha daraja la Tanzania la B1 kwa muda mrefu katika mikopo ya sarafu ya ndani na [...]
Balozi Mteule wa Hungary awasilisha  nakala ya Hati za Utambulisho

Balozi Mteule wa Hungary awasilisha nakala ya Hati za Utambulisho

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amepokea rasmi nakala ya Hati za Utambulisho kutoka [...]
Sekta ya utalii Kenya yakabiliwa na changamoto, watalii wahamia nchi jirani

Sekta ya utalii Kenya yakabiliwa na changamoto, watalii wahamia nchi jirani

Enzi ambazo watalii walipotoshwa kuamini kuwa Mlima Kilimanjaro uko Kenya zimeanza kupotea, huku wengi wao sasa wakihamia vivutio vya utalii katika ma [...]
Upatikanaji wa nishati safi ya kupikia Tanzania wafikia 23.2%

Upatikanaji wa nishati safi ya kupikia Tanzania wafikia 23.2%

Upatikanaji wa nishati safi ya kupikia nchini Tanzania umeongezeka kutoka asilimia 6.9 mwaka 2021 hadi 23.2 mwaka 2025, ongezeko la zaidi ya mara tatu [...]
Ufanisi wadorora: Bandari ya Mombasa yaanza kupoteza hadhi na mapato

Ufanisi wadorora: Bandari ya Mombasa yaanza kupoteza hadhi na mapato

Kwa vigezo vyovyote vile, Bandari ya Mombasa imekuwa mhimili mkuu wa uchumi wa Kenya. Kwa muda mrefu, Mombasa ilikuwa lango kubwa zaidi la bahari k [...]
Somalia na Tanzania zaimarisha ushirikiano wa uhamiaji kupitia MoU mpya

Somalia na Tanzania zaimarisha ushirikiano wa uhamiaji kupitia MoU mpya

Somalia na Tanzania zimetia saini Hati ya Makubaliano (MoU) yenye lengo la kuimarisha ushirikiano katika usimamizi wa masuala ya uhamiaji na kuongeza [...]
Biashara kati ya Malawi na Tanzania yaongezeka kwa asilimia 13.5

Biashara kati ya Malawi na Tanzania yaongezeka kwa asilimia 13.5

Biashara kati ya Malawi na Tanzania imeongezeka kutoka dola za Marekani milioni 86.5 mwaka 2021 hadi dola milioni 98.2 mwaka 2024, ikiwa ni ukuaji wa [...]
1 2 3 4 270 20 / 2699 POSTS
error: Content is protected !!