Author: Cynthia Chacha

Mikakati mahsusi na maalum ya serikali ya kukuanza uwekezaji nchini na kukuza ajira kwa mtanzania
MIKAKATI YA KUKUZA UWEKEZAJI NCHINI
1. Itaanzisha Kituo Maalum cha kuhudumia na kuwezesha wawekezaji vijana (Youth Investors Resource Centre).
2 [...]
Utafiti: Tanzania yaongoza orodha ya nchi zinazopendwa zaidi na Wakenya kuhamia
Ripoti ya Glass House Brand Trust 2025, imeonyesha kuwa Tanzania imezishinda nchi zote za Afrika Mashariki na kuwa chaguo kuu kwa Wakenya wanaotaka ku [...]
Rais Samia: Walidhamiria kuipindua nchi Oktoba 29
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kulikuwa na jaribio la kuipindua nchi na kuondoa dola iliyopo madarakani katika maandamano yaliyofanyika siku ya Ucha [...]
Yafahamu mambo 6 yatakayochunguzwa na Tume Huru ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani
Tume Huru ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 29, mwaka huu, imeweka wazi mae [...]
Uwekezaji wa Rais Samia wazaa matunda: Meli ya makontena 463 yatua Tanga kwa mara ya kwanza
Bandari ya Tanga kwa mara ya kwanza imeandika historia baada ya kupokea Meli ya MV PARNIA yenye Makontena 463 kutoka Iran.
Akiongea mara baada ya k [...]
Rais Samia: Polisi acheni kumtafuta Askofu Gwajima
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameliagiza Jeshi la Polisi liache kumtafuta Askofu Dkt. Josephat Gwajima kama w [...]
Kuhusu Azimio la Bunge la Umoja wa Ulaya (EU) Kuhusiana na Tanzania na Mapendekezo ya Kuzuia kwa Muda Kusaini Mikataba ya Fedha Ubia kwa Mwaka 2025
Kuhusu Azimio la Bunge la Umoja wa Ulaya (EU) Kuhusiana na Tanzania na Mapendekezo ya Kuzuia kwa Muda Kusaini Mikataba ya Fedha Ubia kwa Mwaka 2025
[...]
Mradi wa ujenzi wa matenki ya kuhifadhi na kusambaza mafuta wafikia asilimia 33.57
Mradi wa ujenzi wa matenki ya kuhifadhi na kusambaza mafuta unaojengwa na Serikali kupitia Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) umefikia asi [...]
Asilimia 0.7 Tu: EU Sio Tegemeo la Bajeti ya Tanzania
Siku moja baada ya Umoja wa Ulaya (EU) kupitisha azimio la kusitisha msaada wa Euro milioni 156 (takriban Sh bilioni 400) uliokuwa umetengwa kwa ajili [...]
Tanzania, Korea kushirikiana kiuchumi
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Korea zimefungua ukurasa mpya wa ushirikiano wa kiuchumi kupitia Jukwaa la Biashara la Tanzania Korea (T [...]

