Author: Cynthia Chacha

1 2 3 4 267 20 / 2663 POSTS
Teknolojia ya kisasa ya mionzi yatumika kuondoa mawe kwa wagonjwa Muhimbili

Teknolojia ya kisasa ya mionzi yatumika kuondoa mawe kwa wagonjwa Muhimbili

Wagonjwa wa mawe kwenye figo nchini hususani waliopo maeneo ya karibu na mkoa wa Dar es Salaam wamehimizwa kujitokeza katika kliniki ya siku tatu ya u [...]
MV Anthia kutoka China yatia nanga Bandari ya Mtwara

MV Anthia kutoka China yatia nanga Bandari ya Mtwara

Bandari ya Mtwara imeendelea kuhudumia meli za aina mbalimbali ambapo tarehe 18.01.2026 imepokea meli ya mizigo ya MV ANTHIA iliyobeba shehena ya maga [...]
Safari treni ya Tazara kurejea mwezi Februari 10

Safari treni ya Tazara kurejea mwezi Februari 10

Shirika la Reli Tanzania na Zambia (TAZARA) limetangaza kurejea kwa safari za treni za abiria kutoka Dar es Salaam kwenda New Kapiri Mposhi nchini Zam [...]
Mradi mpya wa REA kuzinduliwa Januari 16

Mradi mpya wa REA kuzinduliwa Januari 16

Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inatarajia kuzindua Kituo cha Kupoza na Kusambaza Umeme cha Mtera tarehe 16 Januari 2026, ikifuatiwa [...]
Mfumo mpya wa kodi kuanza Februari 9

Mfumo mpya wa kodi kuanza Februari 9

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Februari 9, mwaka huu inatarajia kuanza rasmi matumizi ya Mfumo Jumuishi wa Usimamizi wa Ukusanyaji wa Mapato ya Ndan [...]
Miradi ya bilioni 15.7 kuufungua mkoa wa Lindi kiuchumi

Miradi ya bilioni 15.7 kuufungua mkoa wa Lindi kiuchumi

Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Mheshimiwa Zainab Telack, amefanya ziara ya kukagua miradi mitatu ya maendeleo inayotekelezwa katika Halmshauri ya Manispaa ya [...]
Ujumbe kutoka DRC waishukuru Serikali ya Tanzania kwa kuendelea kutoa hifadhi kwa wakimbizi

Ujumbe kutoka DRC waishukuru Serikali ya Tanzania kwa kuendelea kutoa hifadhi kwa wakimbizi

Ujumbe wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) ukiongozwa na Waziri wa Nchi, anayeshughulikia masuala ya Ustawi wa Jamii, Hatua za Kibinadamu na Msh [...]
Mabasi mapya 49 ya mwendokasi yawasili rasmi

Mabasi mapya 49 ya mwendokasi yawasili rasmi

Mabasi mapya na ya kisasa 49 ya Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (BRT) yamewasili nchini yakiwa ya hadhi ya kimataifa. Mabasi hayo ya Golden Dragon [...]
Tanzania China za kubaliana kuendeleza ushirikiano wa kimkakati

Tanzania China za kubaliana kuendeleza ushirikiano wa kimkakati

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo, amekutana na kufanya mazungumzo ya pande mbili na mgeni w [...]
Bandari ya Mtwara mbioni kupokea mitambo ya kuchimba gesi

Bandari ya Mtwara mbioni kupokea mitambo ya kuchimba gesi

Kwa mara ya kwanza katika historia, Bandari ya Mtwara inatarajiwa kuanza kupokea mitambo na vifaa vya kisasa kwa ajili ya utekelezaji wa mradi mkubwa [...]
1 2 3 4 267 20 / 2663 POSTS
error: Content is protected !!