Author: Cynthia Chacha
Waziri Kombo ashiriki kikao cha 47 cha Baraza la Mawaziri AU
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) ameshiriki katika kikao cha 47 cha Baraza la Mawazir [...]
Tanzania na Ethiopia zasimika mikakati ya kukuza ushirikiano wa kiuchumi
Pembezoni mwa Mkutano wa 47 wa Kawaida wa Mawaziri wa Umoja wa Afrika, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud [...]
Vijiji sita Siha vyapata maji
Zaidi ya wakazi 7,000 wa vijiji sita vya Gararagua na Kideco Kata ya Donyomorwa, wilayani Siha mkoani Kilimanjaro, wamepata ahueni baada ya serikali k [...]
Rorya yatumia milioni 99 kwa ajili ya mikopo 10%
Halmashauri ya Wilaya ya Rorya mkoani Mara imetoa Shilingi milioni 99 kwa ajili ya kuwawezesha kiuchumi vijana, wanawake na watu wenye ulemavu, ikiwa [...]
Serikali mbioni kuvipa vyombo vya habari ruzuku
Serikali imesema inatafakari kuona namna ya kufadhili vyombo vya habari kwa kuvipa ruzuku.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Prof [...]
Rais Samia kuzindua Dira ya Maendeleo 2050: Njia ya mafanikio na ujumuishi
Tanzania inajiandaa kuingia katika enzi mpya ya maendeleo huku Rais Samia Suluhu Hassan akitarajiwa kuzindua rasmi Dira ya Maendeleo ya Taifa 2050 (TD [...]
Mavunde akabidhi jengo la kupumzikia wananchi Hospitali ya Mkoa Dodoma
Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Mh. Anthony Mavunde amekabidhi jengo la kupumzikia wananchi katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ambalo litasaidia kutatu [...]
Tozo ya mafuta ilivyokamilisha ujenzi wa Daraja la Mawe la Mto Mmbaga
Ujenzi wa daraja la mawe eneo la Mto Mmbaga unaounganisha kijiji cha Jema na kata ya Oldonyosambu wilayani Ngorongoro umesaidia kuondoa changamoto kwa [...]
Rais Samia Suluhu akabidhiwa Tuzo Maalum ya ‘Power of 100 Women Award
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Tuzo Maalum ya ‘Power of 100 Women Award kutoka kwa Uongozi wa Access [...]
Boti ya uokozi yamkosha Rais Samia Suluhu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema ni faraja kubwa kuona boti ya utafutaji na uokoaji imeshushwa katika m [...]