Author: Cynthia Chacha
Rais Samia afanya uteuzi wa viongozi mbalimbali
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali.
[...]
Rais Samia azindua Benki ya Ushirika kwa ajili ya kuimarisha Sekta ya Kilimo na Ushirika
Rais Samia Suluhu Hassan ameendelea na jitihada za kuimarisha sekta ya ushirika na kilimo nchini kwa kuzindua benki ya kwanza ya ushirika, inayomiliki [...]
Rais Samia atoa msamaha kwa wafungwa 4,887
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa msamaha kwa wafungwa elfu nne mia nane themanini na saba (4,887) ambapo arobaini na mbili (42) kati yao wanaachiliwa h [...]

4R isiwe kisingizio kuvunja sheria
Rais Samia Suluhu Hassan amewataka Watanzania kutotumia falsafa ya 4R (Maridhiano, Mageuzi, Ustahimilivu na Kujenga Upya) kama kisingizio cha kuvunja [...]
Kuondolewa kwa zuio la biashara na usafirishaji wa mazao ya kilimo kati ya Tanzania na nchi za Malawi na Afrika Kusini
Serikali kupitia Wizara ya Kilimo ilitangaza tarehe 23 Aprili 2025, kuzuia mazao kutoka nchi za Afrika Kusini na Malawi kuingia katika mipaka ya Tanza [...]
Rais Samia aidhinisha shilingi bilioni 30 kukarabati barabara zilizoathiriwa na mvua
Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan imepanga kutumia kiasi cha zaidi ya shilingi bilioni 30 kwa ajili ya ukarabati wa barabara muhimu za maeneo mbali [...]
Dk Mpango kumuwakilisha Rais Samia mazishi ya Papa Francisco
Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk Philip Mpango anatarajiwa kumuwakilisha Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan katika mazishi ya aliyekuwa Kiongozi Mkuu [...]
Sekta ya madini yafikia lengo la mchango wake kwenye Pato la Taifa
Serikali imesema mchango wa sekta ya madini katika pato la taifa umefikia asilimia 10.1.
Taarifa hiyo imetolewa jana Dodoma na Waziri wa Madini, An [...]
Gwajima- sakata la mabinti wa chuo Mwijaku kuhojiwa na polisi
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu Dr. Doroth Gwajima ametoa taarifa kwa umma kufuatia tukio la udhalilishaji wa binti [...]
Umri wa kuishi kwa wanawake Tanzania umeongezeka hadi miaka 70
Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania (NBS) imeripoti kuwa wastani wa umri wa kuishi kwa mwanamke wa Kitanzania anayezaliwa mwaka 2025 umeongezeka ha [...]