Author: Cynthia Chacha
Vituo 50 vya kuhifadhia parachichi kujengwa nchini
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ndg. Samia Suluhu Hassan amewahakikishia wananchi wa Mkoa wa Mbeya [...]
Samia aahidi maendeleo ya kasi Mbalizi
Mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, ameendelea na kampeni zake za kuomba ridhaa ya kuongoza tena nchi kwa [...]
Samia aipatia Kongwa maendeleo
Mgombea wa Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, akihutubia wananchi wa Kibaigwa, Wilaya ya Kongwa, amekumbusha utekeleza [...]
CCM kufufua kiwanda cha viwanda Morogoro
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa ahadi yake ya k [...]
Dkt. Samia Suluhu awapa wananchi wa Ngerengere ahadi za maendeleo
Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameendelea na kampeni [...]

Moshi mweusi watanda urais wa Mpina
Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa imebatilisha uteuzi wa Luhaga Mpina kuwa mgombea wa urais kwa tiketi ya Chama cha ACT Wazalendo, ikisema haukufuat [...]

Rais Samia: Haki izingatiwe Uchaguzi Mkuu 2025
Rais Samia Suluhu Hassan ameutaka umma wa Watanzania na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kuhakikisha haki inasimamiwa kikamilifu katika uchaguzi m [...]
Majina ya wanachama wa CCM watakaogombea nafasi za Ubunge, Ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kwa Majimbo na Viti maalum
Majina ya wanachama wa CCM watakaogombea nafasi za Ubunge, Ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kwa Majimbo na Viti maalum.
[...]
Fahamu majina ya waliotoka Chadema na kulamba teuzi CCM
Watano kati ya 19 waliokuwa wabunge Chadema wateuliwa CCM Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) imewateua miongoni mwa waliokuwa wabunge 19 wa [...]
Madai ya Polepole yakanushwa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC)
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imekanusha taarifa zinazodai kuwa mfumo wa uchaguzi unaotumika na Tume hiyo umeunganishwa na mfumo wa Mamlaka ya [...]