Author: Cynthia Chacha
Mwenge watembelea miradi ya elimu na nishati Tunduru
Mwenge wa Uhuru ukiwa wilayani Tunduru, mkoani Ruvuma, umetembelea mradi wa nishati safi ya kupikia katika Shule ya Sekondari Tunduru, unaogharimu zai [...]
Laini za simu 47,728 zafungiwa kwa uhalifu, ulaghai mtandaoni
Serikali kupitia Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imebaini kuzifungia laini za simu 47,728 na Nambari za Kitambulisho cha Taifa (NIDA) 39,028 zi [...]
Mgonjwa aliyedumu na tezi dume kwa miaka miwili afanyiwa upasuaji na Kambi ya Madaktari Bingwa wa Dkt. Samia
Kambi ya Madaktari Bingwa wa Rais Samia imefanikiwa kutatua changamoto ya ugonjwa wa tezi dume kwa Bw. Athuman Rashid (78), mkazi wa wilaya ya Pangani [...]

Serikali kutumia shilingi bilioni 208.9 kuwezesha kaya duni 260,000
Serikali inakusudia kutumia Dola milioni 77.4 sawa na shilingi Bilioni 208.9 kuzijengea uwezo kaya 260,000 za wakulima na wavuvi kwa kuziwezesha kitaa [...]
Rais wa Findland awashukuru Watanzania kwa ukarimu
Rais wa Finland, Alexander Stubb, ametoa shukrani zake za dhati kwa Watanzania kutokana na ukarimu waliouonyesha wakati wa ziara yake ya kitaifa ya si [...]
Ushirikishwaji wa Sekta Binafsi Bandari ya Dar es Salaam Waongeza Ufanisi na Mapato
Ushirikishwaji wa sekta binafsi katika uendeshaji wa Bandari ya Dar es Salaam umeonyesha mafanikio makubwa, na kuleta mabadiliko chanya katika uchumi [...]
Wananchi wa Mbagala kuondokana adha ya kukatika umeme
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Lazaro Twange amesema wananchi wa maeneo ya Mbagala na viunga vyake sasa wanatarajia kupat [...]
Rais Samia ataja fursa za uhusiano na Finland
TANZANIA na Finland wamekubaliana kuimarisha biashara baina yao.
Rais Samia Suluhu Hassan alisema hayo Ikulu, Dar es Salaam jana baada ya kuzungumz [...]
Boti za uvuvi 160 zanunuliwa na Serikali
Serikali imesema imenunua boti za uvuvi 160 zenye thamani ya sh. bilioni na kuzitoa kwa wanufaika 3,163 nchini.
Hayo yalibainishwa bungeni jijini D [...]
Waziri Kombo Amkabidhi Rais Museveni Ujumbe Maalum kutoka kwa Rais Samia
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo amewasilisha ujumbe Malumu kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya M [...]