Author: Cynthia Chacha
Video zinazoongoza kutokupendwa YouTube
Kila mtu huingia katika mtandao wa YouTube akiwa na lengo lake na kwa baadhi, ni kusikiliza muziki na kupata burudani ama kujifunza kitu fulani.
Li [...]
Ya Harmonize yamkuta Miriam Odemba
Mwanamitindo kutoka nchini Tanzania ambaye kwa sasa anaishi Ufaransa, Miriam Odemba anazidi kuonyesha mapenzi yake kwa msanii kutoka lebo ya Konde Gan [...]
Afa maji akikimbia polisi
Hassani Mussa M’buyu (27) mkazi wa mtaa wa Sabasaba, Kata ya Jamhuri, Manispaa ya Lindi amekufa maji, baada ya kujitosa baharini kwa madai ya kukimbia [...]
Zijue njia 7 za kuokoa mafuta
Baada ya bei za mafuta kupanda nchini, watumiaji wengi wa vyombo vya moto wameanza kujiuliza ni namna gani wanaweza kumudu gharama hizo mpya.
Click [...]
Ushauri wa Jahazi kwa Harmonize
Watangazaji wa kipindi cha Jahazi kinachorushwa kwenye redio ya Clouds, Mussa Hussein, George Bantu na Captain Gardner Habash wamempa ushauri msanii H [...]
Tazama hapa video zinazo-trend Youtube Aprili 6,2022
Hizi hapa video zinazofanya vizuri Youtube Tanzania leo Aprili 6,2022. Husikubali kuiptwa.
https://www.youtube.com/watch?v=IokCG2J-_5Q&list=PLq [...]
Harmonize hakati tamaa
Harmonize bado anazidi kuonyesha kutokata tamaa ya kumpata aliyewahi kuwa mpenzi wake, Kajala Masanja na sasa amemnunulia cheni za dhahabu zenye thama [...]
Diamond amwaga sifa kwa Rais Samia
Msanii na mmiliki wa lebo ya Wasafi, Nasibu Abdul maarufu kama Diamond Platnumz amesema Rais Samia Suluhu ni kiongozi mzalendo na mwenye huruma na wan [...]
Maelezo juu ya kupanda kwa bei za mafuta
Bei za mafuta duniani zimepanda hali ambayo imeathiri pia bei za mafuta hapa Tanzania.
Kupanda kwa bei za mafuta sio jambo geni, limewahi kutokea [...]
Majaliwa: bei zishuke
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewasihi wazalishaji na wafanyabiashara wa bidhaa muhimu kutopandisha bei za vitu kiholela bila utaratibu na hatua kali k [...]