Author: Cynthia Chacha

1 208 209 210 211 212 274 2100 / 2733 POSTS
Ndugai: Sijasema naacha siasa

Ndugai: Sijasema naacha siasa

Aliyekuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amefafanua kauli aliyoitoa juzi ya kutangaza kutogombea ubunge uchaguzi mkuu 2 [...]
Rais Samia kukutana na Museveni

Rais Samia kukutana na Museveni

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan anatarajia kufanya Ziara ya Kiserikali ya siku mbili nchini Uganda kuanzia tarehe 10 [...]
Magazeti ya leo Mei 10,2022.

Magazeti ya leo Mei 10,2022.

Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumanne Mei 10,2022. [...]
Samia atangaza neema bei ya mafuta nchini

Samia atangaza neema bei ya mafuta nchini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amesema kwamba kuanzia Juni Mosi mwaka huu Watanzania wataanza kupata unafuu katika bei y [...]
Bob Wine kuhudhuria Baraza Kuu CHADEMA

Bob Wine kuhudhuria Baraza Kuu CHADEMA

Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA, John Mrema amethibitisha ujio wa aliyekuwa mgombea w [...]
TCRA yataja sababu za kuisha kwa data

TCRA yataja sababu za kuisha kwa data

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA ) leo Mei 9,2022 imeeleza sababu zinazopelekea data kuishia kwa haraka kwenye vifurushi vya watumiaji wa mitanda [...]
Kigwangalla: Sijasema maneno hayo

Kigwangalla: Sijasema maneno hayo

Aliyewahi kuwa Waziri wa Utalii na Maliasili, Hamis Kigwangalla amefunguka na kusema kwamba taarifa iliyotolewa na akaunti moja ya mtandao wa Twitter [...]
Nyota wa Ponografi amuomba Elon Musk

Nyota wa Ponografi amuomba Elon Musk

Nyota wa zamani wa ponografi amesema, Elon Musk anahitaji kupiga marufuku maudhui ya picha na video za utupu kwenye mtandao wa Twitter. Lisa Ann, 4 [...]
CHADEMA yaainisha mafanikio ya ‘Join the chain’

CHADEMA yaainisha mafanikio ya ‘Join the chain’

Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Benson Kigaila ameeleza mafanikio ya programu yao ya Join the chain na kusema kwamba [...]
Ndugai kuacha siasa

Ndugai kuacha siasa

Spika mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai ametangaza nia yake ya kuacha siasa ikiwamo kutogombea tena nafasi ya ubunge kat [...]
1 208 209 210 211 212 274 2100 / 2733 POSTS
error: Content is protected !!