Author: Cynthia Chacha
Tanzania haidaiwi zaidi ya sh. trilioni 10 na EIB
Wizara ya Fedha na Mipango nchini Tanzania imewataka wananchi kupuuzia taarifa zinazoonekana kupitia mitandao ya kijamii kuwa Serikali inadaiwa Dola z [...]
Magazeti ya leo Machi 6,2023
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatatu Machi 6,2023.
[...]
Rais Samia aridhia waliovamia eneo la Uwanja wa KIA kulipwa fidia
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema serikali itawalipia fidia wale wote waliovamia eneo la Uwanja wa Ndege wa Ki [...]
Waandaaji wa Miss Tanzania wapinga wazo la Zuchu
Baada ya msaani Zuhuru 'Zuchu' kutumia Sash yenye jina la Miss Tanzania kwenye cover ya wimbo wake mpya wa NAPAMBANA. waandaaji wa mashindano ya Uremb [...]
Bodaboda Arusha wamjibu Lema kuwaita ‘wakimbiza upepo’
Uongozi wa Umoja wa Bodaboda wilayani Arusha (UBOJA) wamelaani kauli iliyotolewa na aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lem [...]
Anayedaiwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja kuchunguzwa
Kaminshna wa Polisi Zanzibar, Hamad Khamisi, amesema wanamchunguza askari wao anayetuhumiwa kwa kujihusisha na mapenzi ya jinsi moja (ushoga) na ikith [...]
Rais Samia : Uongozi bora ni msingi wa maendeleo
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuna shida katika uongozi bora Tanzania, jambo ambalo limekuwa likiibua changomoto kwa baadhi ya viongozi wa Serikali [...]
Magazeti ya leo Machi 3,2023
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Ijumaa Machi 3,2023.
[...]
Magazeti ya leo Machi 2,2023
Habari za asubuhi, nakukaribisha kutazama yale yaliyojiri katika kurasa za mbele na nyuma za magazeti ya Tanzania leo Jumatatu Machi 2,2023.
[...]
Tinubu ashinda urais Nigeria
Tume ya Uchaguzi nchini Nigeria (INEC) imemtangaza mgombea wa chama tawala APC, Bola Tinubu kuwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika Jumamosi.
[...]