Author: Cynthia Chacha
Upungufu wa chakula SADC waongezeka 25.7%
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa rai kwa nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) kuanza kutekeleza kikamilifu sera bora za k [...]
Mbunge wa Mbarali afaraki dunia
MBUNGE Jimbo la Mbarali mkoani Mbeya, Francis Mtega amefariki dunia.
Taarifa iliyotolewa na Bunge leo Julai Mosi, 2023 inasema kuwa Mtega amepata a [...]
Rais Samia afanya uteuzi wajumbe wa NEC
Rais Samia Suluhu amefanya uteuzi wa Wajumbe wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Serikali.
[...]
Rais Samia apongezwa na USAID kwa mageuzi ya kiuchumi na kidemokrasia
Msimamizi wa Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Marekani (USAID), Bi. Samantha Power, amekiri azma ya Rais Samia Suluhu Hassan katika kukuza mageuzi [...]
Jaji Feleshi akemea lugha za kibaguzi mjadala wa bandari
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Dkt. Eliezer Feleshi, amejitosa kwenye mjadala wa uwekezaji wa kampuni ya Dubai ya DP World unaotarajiwa kufanywa k [...]
CNOOC ya China kufanya utafiti wa mafuta na gesi baharini Tanzania
Kampuni ya CNOOC Ltd ya China inapanga utafiti wa mafuta na gesi baharani kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo la Petroli la Tanzania ( TPDC) waka [...]
China na Tanzania kushirikiana uzalishaji wa nishati jadidifu
Ziara ya Waziri wa Nishati, Mhe. January Makamba nchini China imezaa matunda baada ya China kuahidi kushirikiana na Tanzania katika uzalishaji wa nish [...]
China yaahidi kuwekeza sekta ya nishati Tanzania
Waziri wa Nishati, January Makamba amesema Mfuko wa Uwekezaji wa China Africa Development Fund (CADFUND) umeonesha nia ya kuwekeza Tanzania katika sek [...]
TPDC, CNOOC ya China kushirikiana katika sekta ya gesi
Waziri wa Nishati, January Makamba amesema Kampuni ya China National Offshore Oil Corporation (CNOOC) na Shirika la Maendeleo la Petroli la Tanzania(T [...]
Fahamu kwamba bunge linaweza kuitisha mkataba wa bandari
Mikataba ya uwekezaji inayosainiwa nchini inaweza kuitishwa bungeni kwa marekebisho na maboresho, imeelezwa. Hayo yalibainishwa wakati wa mjadala wa k [...]

