Author: Cynthia Chacha
Dk. Kikwete akoshwa na uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan
Rais Mstaafu wa Awamu ya Sita, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kazi kubwa anayoifanya ya kuhakikisha Tanzania ina [...]
Rais Samia: Nchi za jirani zinatamani fursa tuliyoipata
Rais Samia Suluhu Hassan amesisistiza kuwa wakati Tanzania inaendelea kujadili makubaliano ya bandari na kampuni kubwa ya Dubai, bandari pinzani katik [...]
Rais Samia : jicho la serikali lipo wizara ya mipango na uwekezaji
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema sasa jicho la Serikali lipo katika wizara mpya iliyoundwa ya Mipango na Uwekezaji ambapo itakuwa na majuk [...]
Wavulana wakimbiza matokeo kidato cha sita 2023
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) leo limetangaza matokeo ya mtihani ya kidato cha sita kwa mwaka 2023 huku ufaulu wa jumla kwa watahiniwa wa shule [...]
Matokeo kidato cha sita 2023, 11 wafutiwa
Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limefuta matokeo ya watahiniwa 11 wa kidato cha sita baada ya kubainika kufanya vitendo vya udanganyifu katika mti [...]
Ajira mpya 77 Kada za Afya
Serikali kupitia Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR - TAMISEMI) imetangaza tena nafasi za ajira kwa kada za Afya 77 nakuwataka wa [...]
Tanzania haitakuwa kikwazo kwa ukuaji wa kiuchumi wa Malawi
Rais Samia Suluhu Hassan, amesema uhuru wa Malawi una maana kubwa kwao kwani unakamilisha uhuru wao kama jirani huru na mshirika wa kiuchumi katika nj [...]
Bei ya mafuta shuka kwa zaidi ya Sh100
Bei ya rejareja ya mafuta ya petroli Tanzania kwa Julai 2023 imeshuka kwa zaidi ya Sh100 kwa lita ndani ya mwezi mmoja huku bei ya mafuta ya taa katik [...]
Upungufu wa chakula SADC waongezeka 25.7%
Rais Samia Suluhu Hassan ametoa rai kwa nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) kuanza kutekeleza kikamilifu sera bora za k [...]
Mbunge wa Mbarali afaraki dunia
MBUNGE Jimbo la Mbarali mkoani Mbeya, Francis Mtega amefariki dunia.
Taarifa iliyotolewa na Bunge leo Julai Mosi, 2023 inasema kuwa Mtega amepata a [...]

