Author: Cynthia Chacha
Dk Mpango kumuwakilisha Rais Samia mazishi ya Papa Francisco
Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk Philip Mpango anatarajiwa kumuwakilisha Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan katika mazishi ya aliyekuwa Kiongozi Mkuu [...]
Sekta ya madini yafikia lengo la mchango wake kwenye Pato la Taifa
Serikali imesema mchango wa sekta ya madini katika pato la taifa umefikia asilimia 10.1.
Taarifa hiyo imetolewa jana Dodoma na Waziri wa Madini, An [...]
Gwajima- sakata la mabinti wa chuo Mwijaku kuhojiwa na polisi
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalumu Dr. Doroth Gwajima ametoa taarifa kwa umma kufuatia tukio la udhalilishaji wa binti [...]
Umri wa kuishi kwa wanawake Tanzania umeongezeka hadi miaka 70
Ofisi ya Taifa ya Takwimu Tanzania (NBS) imeripoti kuwa wastani wa umri wa kuishi kwa mwanamke wa Kitanzania anayezaliwa mwaka 2025 umeongezeka ha [...]
Rais Samia atuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Papa Francis
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametuma salamu za pole kwa waumini wa Kanisa Katoliki ndani na nje ya nchi kufuat [...]
Taarifa kuhusu muwekezaji aliyedai kunyanyaswa na mlinzi mkoani Kilimanjaro
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro limetoa ufafanuzi wa picha mjongeao (video clip) iliyoonekana kusambaa kwenye mitandano ya kijamii ya Aprili 20, 2 [...]
Baba Mtakatifu Francisko afariki dunia akiwa na miaka 88
Vatican – Katika siku ya Jumatatu ya Pasaka, Aprili 21, 2025, Baba Mtakatifu Francisko amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 88. Alifariki akiwa kati [...]
Wabunge waliopoteza imani kwa wananchi hali tete
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza mabadiliko ya mfumo wa upatikanaji wa wagombea ubunge na udiwani kwa lengo la kuongeza ushirikishwaji wa wananch [...]
Ali Kamwe akutwa na hatia apigwa faini ya milioni 5, Ahmed Ali hana hatia
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetangaza maamuzi ya Kamati ya Maadili kufuatia mashauri dhidi ya maofisa wa klabu za Simba SC na Yanga SC.
Kam [...]
Tanzania kuiwekea vikwazo Afrika Kusini na Malawi kuhusu biashara ya bidhaa za kilimo
Waziri wa Kilimo wa Tanzania, Hussein Bashe, ametangaza kuwa Tanzania itazuia uingizwaji wa mazao na bidhaa zote za kilimo kutoka Malawi na Afrika Kus [...]