Author: Thani Chikira

1 4 5 6 7 8 27 60 / 270 POSTS
Polisi watolea ufafanuzi risasi zilizosikika Lumumba – Dar es Salaam

Polisi watolea ufafanuzi risasi zilizosikika Lumumba – Dar es Salaam

Kamanda wa Polisi kanda maalum ya Dar es Salaam Jumanne Muliro ametolea maelezo kuhusu sintofahamu iliotokea maeneo ya Lumumba, Ilala Dar es Salaam, v [...]
Kufuru, utajiri wa Diamond Platnumz 2021

Kufuru, utajiri wa Diamond Platnumz 2021

Diamond Platnumz, msanii machachari kutoka Tanzania, muazilishi, mmiliki na mkurugenzi wa kampuni inayojishughulisha na maudhui ya muziki ya WCB. Diam [...]
Diamond achambua miaka 60 ya Uhuru na Mawaziri

Diamond achambua miaka 60 ya Uhuru na Mawaziri

Msanii maarufu wa muziki wa kizazi kipya, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ameshiriki katika mjadala wa miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania, Tulipotoka, tuli [...]
Hizi hapa zawadi unazoweza kumpa mtoto wako

Hizi hapa zawadi unazoweza kumpa mtoto wako

Watu wengi wanapenda sana watoto zao, na huonesha mapenzi hayo mara nyingine kwa kuwanunulia zawadi mbalimbali. Lakin wazazi wengi wamezoea viatu na n [...]
Rais Samia atajwa miongoni mwa Wanawake 100 wenye nguvu duniani

Rais Samia atajwa miongoni mwa Wanawake 100 wenye nguvu duniani

Jarida la Forbes la nchini Marekani limemtaja Rais Samia Suluhu Hassan kuwa miongoni mwa Wanawake 100 wenye nguvu zaidi duniani. Huu ni msimu wa 18 ka [...]
Biashara ya muziki haina faida bila ‘Beefs’, kwanini?

Biashara ya muziki haina faida bila ‘Beefs’, kwanini?

Neno 'Beef' ni neno la mtaani au neno ambalo sio rasmi kwenye lugha ya Kingereza lenye maana ya kuonesha/kuwa chuki au kutokupenda kitu kitu fulani. K [...]
Wafanyakazi 900 wafukuzwa kazi muda mmoja kupitia ‘Zoom Call’

Wafanyakazi 900 wafukuzwa kazi muda mmoja kupitia ‘Zoom Call’

"Kama umepokea simu hii muda huu, wewe ni mmoja ya watu waliofukuzwa kazi", aliongea Vishal Garg, Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya kupangisha na kuuza ma [...]
Achinjwa hadi kufa kwa kuolewa bila ridhaa ya wazazi

Achinjwa hadi kufa kwa kuolewa bila ridhaa ya wazazi

Mwanamke mmoja, umri miaka 19 huko nchini India katika eneo la Aurangabad amevamiwa na kuchinjwa na kaka zake wawili baada ya kutoroshwa na kuolewa na [...]
Zifahamu dalili 6 za matapeli mtandaoni

Zifahamu dalili 6 za matapeli mtandaoni

Maendeleo ya Sayansi ya Habari na Mawasiliano kwa kiasi kikubwa yamefanya mapinduzi katika sekta mbalimbali kama biashara, usafirishaji na kadhalika. [...]
Diamond ashauriwa kuacha Muziki

Diamond ashauriwa kuacha Muziki

Katika mitandao ya kijamii kumekuwa na stori kuwa msanii Diamond Platnumz sasa hivi akitoa nyimbo hazibambi sana kwa ilivyokuwa siku za nyuma. Pengine [...]
1 4 5 6 7 8 27 60 / 270 POSTS
error: Content is protected !!