Category: Elimu
Fanya mambo haya 5 kulinda uchumi wako mwezi Desemba
Mwezi wa 12 (Desemba) ni mwezi unaombatana na sikukuu na mapumziko. Sikukuu za 'Christmas' na kuukaribisha mwaka unaofuata, hutawala zaidi mawazo ya w [...]
Ngono inavyoweza kuimarisha afya ya akili
Tatizo la afya ya akili limekua likiongezeka kwa kasi hususani kwa vijana, Watu wachache hugundua kuwa wana matatizo ya afya ya akili lakini kwa sehem [...]
Faida za kiafya za kulala uchi
Ikiwa bado hujawahi lala uchi, inaweza kuwa wakati wa kujaribu sasa. Makala hii itaeleza jinsi kulala uchi kunavyoweza kukusaidia kupata pumziko bora, [...]
Ugonjwa wa wanawake kuota nywele kifuani na usoni
Baadhi ya wanawake wamekua na nywele maeneo ya kifua na usoni. Kitaalamu hii hali huitwa “Hirsutism” ambapo madaktari hufanya uchunguzi juu ya tatizo [...]
Mambo (5) ya uongo tuliyoambiwa wakati tunakua kuhusu mahusiano
Unapofikia umri wa balehe wazazi na jamii wanajaribu kukulinda dhidi ya changamoto mbalimbali za ukuaji zinazotokana na mahusiano, Katika kipindi hiki [...]
Vivutio vinne (4) vya utalii visivyokuwa na kiingilio Dar
Maana ya utalii ni kutoka na kutembelea sehemu fulani aidha kwa kujifunza au kustarehe tu. Kila mtu ana aina ya vivutio anavyopenda kutembela, wapo wa [...]
Mjue mwafrika mwenye asili ya Ugiriki alipima mzunguko wa dunia kabla ya Kristo
Eratosthenes wa Kirene alikuwa mtaalamu wa hisabati, jiografia, historia na lugha tena mkurugenzi wa maktaba ya Aleksandria katika Misri. Anakumbukwa [...]
Ujinga sasa basi, DAR ES SALAAM sio ‘Bandari Salama’, hii ndio maana yake.
Walio wengi wanatambua kuwa ‘Dar Es Salaam’ ni neno la lugha ya kiarabu likimaanisha ‘Bandari Salama’ huu ni upotofu uliodumu kwa muda mrefu san [...]
Faida (5) za kuwa katika mahusiano na mwanaume mfupi
Linapokuja suala la mahusiano, wanaume wenye kimo cha kiasi fulani hupata mtihani kidogo katika kuanzisha mahusiano. Baadhi ya wanawake huona wanaume [...]
Tumia asali na maziwa kuondoa sugu
Sugu ni weusi ambao unatengeneza ugumu mara nyingi unatokea katika vifundo au maungio mfano kwenye magoti, nyuma ya vidole vya mikono na nyuma ya kiwi [...]

